Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hivi huyu Manguruwe ni nani na katokea wapi? lengo lake nini? Leo kakutana na kipondo cha Dudu baya kwa madai ya kumkashifu. --- Siku chache baada ya mfanyabiashara na mmiliki wa mradi wa...
14 Reactions
49 Replies
9K Views
Wazee wa makoti hawasikiki kabisa Mara ya mwisho nilisikia wamekula shavu Unyaman Simba mara sijui wamechukuliwa na Majizo. But ninachojua NI kwamba sijawasikia muda Sana. Vip Kwa sasa wanatamba...
9 Reactions
41 Replies
3K Views
kuna clip inaonyesha mr nice akiapishwa freemasonry na mwenzake alafu cha kushangaza soski za mikono wamepeana mmoja kabaki na kulia mwengine kabaki na ya kushoto. Mfuko wa wastaafu uboreshwe...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Buti nyeusi za BALENCIAGA anazovaa Mondi zinaenda kwa jina la "ALASKA PUFFER BOOT (men)" amekuwa akizunguk navyo kika kona basi hata Abadilishe rangi tujue Anavyo Vingi basi, yan mwisho wa siku...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwa utafitu mdogo niliofanya kupitia Simba Day na Yanga Day nimegundua timu ya Yanga Ina mashabiki wengi wengi wanawake Tena warembo hasa ukilinganisha na Simba. Hata waliongalia kwenye TV...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Mkurugenzi wa Clouds media group, Joseph Kusaga amethibitisha kutokuwa na Ubia wowote katika Wasafi media, ameeleza hayo katika mahojiano yake na Clouds, Kusaga ameeleza kuwa hana shea yoyete...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Adidja Palmer, maarufu kama "Vybz Kartel," alihukumiwa kifungo cha maisha Machi 13, 2014, baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya Clive "Lizard" Williams pamoja na wenzake watatu, Shawn, Andre...
7 Reactions
34 Replies
3K Views
Yani wabongo bana wakishakamata vijichenji kidogo fujooo na kuanza kuringishia. Aliyekuwa mpambe/mlinzi ama bodyguard wa msanii maarufu nchini Diamond jitu lenye miraba minne Mwarabu fighter naye...
11 Reactions
33 Replies
3K Views
Ukifanya uchunguzi yakinifu utagundua kuwa hawa vijana wamekataa kulima na wameamua kuforce kuishi mjini.
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Baada ya kifo cha 2 pac September 7 ,1996 , notorious B.I.G alihusishwa sana na kifo cha 2 pac na haya ndio yalikuwa majibu yake . Kwa maana rahisi “Sure we had our hardships, but I would never...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu bila shaka siku inaenda kadri mwenyezi Mungu anavyojalia. Nisiwachoshe Kwa maneno mengi, naomba niende moja Kwa moja kwenye mada. Binafsi nimetokea kuvutiwa Kimuziki na hili kundi la...
3 Reactions
4 Replies
785 Views
Kwa Wahenga wenzangu ambao tulikua miaka 1990s wakati huo kuna ITV na ITV 2, Cheka na CTN kulikuwa na muigizaji wa kwanza hapa Bongo Alikuwa akiigiza Ana kigugumizi na tumbo kubwa na pia kwa...
9 Reactions
38 Replies
3K Views
Sisi wengine mambo ya siku hizi hayatunogei. Bora tukumbukie ya zamani tu! Kwa wafuatiliaji wa game hii ya burudani, watakumbuka jinsi Prof Jay alivyokuwa akiburuzwa na penzi la mwanadada...
50 Reactions
262 Replies
84K Views
Wanawake wana dunia yao kimavazi, na nadhani wanahitaji kuwekewa "brake" maalumu duniani kote. Tukiendelea hivi, baada ya miaka 5 wanawake watatembea uchi wa mnyama. It is too much! Hebu mtazame...
7 Reactions
48 Replies
3K Views
Oya nyie vijana wageni mnaotoka na wanawake classy embu acheni kuonesha mnaweweseka public. Hapa Hamisa ana muinjoy tu Ki. Huyu Hamisa ana akili sana. Ampopoe tu.
9 Reactions
39 Replies
3K Views
Huyu ndiye kijana wangu Said Salim Bakhresa, Mtu tajiri sana hapo Tanzania ambaye leo anasherehekea miaka 75 ya kuzaliwa. Mpaka sasa, Bakhresa sidhani kama amewahi kunywa: 👉🏾 Azam Energy 👉🏾 Azam...
18 Reactions
89 Replies
5K Views
Kuna wachekeshaji mnawaimba sana na komedi zao za kulazimishana kucheka ila kwa huyu mwamba Konkara namvulia kofia jamaa hatumii nguvu nyingi Pata muda wa kumfuatilia ujionee picha nawaletea sun
2 Reactions
10 Replies
950 Views
Kampuni ya Home Box Office (HBO) ya Marekani kuwalipa wasanii, Soggy Doggy na Dataz, kiasi cha Tsh Milioni 700 kwa kutumia wimbo wao "Sikutaki Tena" katika filamu ya "Sometimes In April" bila...
15 Reactions
75 Replies
6K Views
Pongezi ziende Kwa wazazi wote pastor John shusho na bi Christina shusho hakika mkishakuwa wazazi lazima mkutane kwenye matukio kama haya haijalishi mmetengana.
6 Reactions
20 Replies
3K Views
Mr.Nice akifunguka kuhusu utajiri wake ulivyotoweka ghafla!. Katika hali yakushangaza, Lucas Mkenda au maarufu kama Mr.Nice, finaly afunguka kuhusu utajiri wake na sababu za kushuka kwake...
4 Reactions
88 Replies
28K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…