Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

  • Sticky
Amri Athuman’ King Majuto’ alizaliwa mwaka 1948 jijini Tanga na kusoma shule Msambwini, Tanga, alianza kuigiza 1958 akiwa na umri wa miaka 9 akiigiza katika majukwaa Mzee Majuto maarufu kama King...
30 Reactions
258 Replies
241K Views
  • Sticky
M's Tanzania wa Kwanza (Hayati Theresa) Mwaka 1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache. Kwani...
14 Reactions
156 Replies
151K Views
  • Redirect
Huyu jamaa wa kundi la kina masanja,joti na mpoki aliendaga wapi maaana ni kitambo sanaa
0 Reactions
Replies
Views
Wewe fikiria utembeee mwaka mzima peku na kusafiri peku nani anaweza hilo? Mimi najuwa ili upate kibali kuna gharama za kulipia kibali hakiji hvhivi japo Kuna bahati pia.
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Inaonekana amejawa na mawazo sana!
1 Reactions
6 Replies
527 Views
Je, umewahi kujiuliza kama wewe na mwenza wako mnaweza kushirikiana kibiashara? Navy Kenzo wametoka mbali katika safari yao ya mahusiano na muziki. Mwaka 2008, Aika na Nahreel walikutana na...
2 Reactions
11 Replies
325 Views
Nini sababu ya Mwanamuziki Nguli duniani lady jay Dee kuachana na mume wake wa ndoa? Mwenye kujua tafadhali ili tuweke rekodi sawa kwenye maandishi. Cc: kataa ndoa
5 Reactions
56 Replies
3K Views
Katika kuendeleza tasnia na kumpongeza Kwa mafanikio katika fani wasanii nchini, wamepanga kumtungia wimbo maalum Msanii mwenzao Msechu, P. Heko Bongo Celebrities
2 Reactions
6 Replies
405 Views
Celebrities anaabudu pombe na Mademu. Siku likimkuta Jambo anaaibika hadharani kabla na baada ya Maziko, watoto wanabaki kugawana makochi na harrier old model. NB: Tengeneza future ya wategemezi...
21 Reactions
117 Replies
4K Views
Ukienda kule DSTV (Jua Kali) utawakuta familia ya kina Mwaipopo [emoji23] ambao ni Gabo, Eliudi, Mwaipopo, Uncle Lusajo na Chichi & Mama Gabo, familia yenye kila aina ya vituko. Hawa jamaa ni...
0 Reactions
9 Replies
357 Views
Hi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe...
16 Reactions
170 Replies
5K Views
Tokugawa Shogunate... Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT. Binafsi nimeitazama hii series nakubali...
1 Reactions
71 Replies
1K Views
Hello. Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe. Au ndo masharti ya mganga wao...
1 Reactions
44 Replies
2K Views
Hili swali nimeulizwa na huyu mtoto wangu mdogo! Kila mcheshi anadhani anaweza kuwa MC na wengi wamevamia huko, cha ajabu ni wachache sana kati yao wenye angalau. Japo lengo lao kujipatia...
2 Reactions
4 Replies
198 Views
Ray kigosi aliwahi kusema wanakunywa maji mengi sana kubadili rangi ya ngozi, ni Maji haya ni yapi?
7 Reactions
19 Replies
712 Views
Askofu TD Jakes ambaye amemtumikia Mungu kwa miongo mingi amejiuzulu kwa madai ya kuwa na mahusiano na mmoja wa waumini wa kanisa lake. Source: Tecnico Informatico
4 Reactions
54 Replies
3K Views
Wakati naendelea kufuatilia marudio ya msiba wa Garder, namuona DJ JD akiwa katulia msibani. Mara kwa mara kamera zinamuonyesha akiwa katulia, na miwani yake myeusi juu ya paa la uso. Ndipo...
8 Reactions
29 Replies
2K Views
Nauliza krefu cha herufi G kwenye jina la marehemu Gadner G Habash na je hayo ndio majina yake halisi?
1 Reactions
11 Replies
998 Views
Hivi marehemu Gadner G Habashi alikua namtoto mmoja tu ambae ni malkia Caren? Naulizia hivi kwa maana ndie anaepewa pole pekee kila mahali hasa kupitia mitandao ya kijamii.
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Movies za Idris Elba Bastille Day Sean Briar Finding Dory Fluke Voice role 100 Streets Max Star Trek Beyond Krall / Balthazar Edison 2017 The Dark Tower Roland Deschain...
0 Reactions
8 Replies
716 Views
Shaaban Kissu MC wa Taifa ndiye the most paid Radio presenter so far, akiwa TBC Na sasa AMG Analipwa zaidi ya milioni tano kwa mwezi, sababu ya kuwa hivyo inatokana na kuwahi kuteuliwa kuwa mkuu...
15 Reactions
45 Replies
3K Views
Nimefuatilia Msiba wa huyu Jamaa, Mtangazaji wa Clouds aliyetutoka juzi na kuagwa leo Leaders Club, Leo ndio nimewajua wabongo wanaojiita watu maarufu, yaani kichefuchefu kuliko kichefuchefu cha...
12 Reactions
67 Replies
5K Views
Back
Top Bottom