Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu wanabodi hao jamaa niliowataja hapo juu wana akili za kushangaza sana, mwanzo walikuwa wakiambiwa lisu yuko pale kwa kuonewa tu walikuwa wakali na kusema iache mahakama ifanye kazi yake...
2 Reactions
11 Replies
47 Views
Maswali ambayo hayajaulizwa hadi sass 1. Je ramani ya mipango miji ya jiji la Dar inasemaje? 2. Je eneo la shekilango ni sahihi kuwa stand za mabus? Je matumizi yake ya asili ni yapi? 3. Je ni...
6 Reactions
21 Replies
215 Views
Wakuu uzima uwe nanyi,Leo asubuhi wakati narudi magetoni nikasema ngoja nipite chocho moja niwaungishe waungana nipige kimoja, nikachukua dada poa mshangazi flani hivi tukaelewana bei fresh...
3 Reactions
16 Replies
78 Views
Asasi za Kiraia (CSOs) zipatazo Hamsini (50) zimesaini tamko la kuomba SADC Pannel of Elders kuja nchini Tanzania kukutana na kufanya mazungumzo na wadau mbalimbali waKIwemo Serikali ,Vyama vya...
0 Reactions
13 Replies
74 Views
Mtu anaenda hospital labda ana shida ya kukohoa au shida nyingine ya mfumo wa upumuaji, daktari anamuandikia Azithromycin au Azuma kama tunavyoita huku mtaani,kwa sababu ni dawa nzuri sana ya...
9 Reactions
58 Replies
505 Views
Habari wa kuu. Baada ya kuwa nje ya JF Kwa Muda Sasa nimerudi. Nilikuwa nimeenda kusalimia wazee Kwanza
0 Reactions
2 Replies
19 Views
Tanzania tuna vijana wengi wenye mitaji na wanaojua kufanya biashara. Tatizo mara nyingi si mtaji, bali ni namna tunavyoutumia mitaji yetu. Fikiria Kijana ana Sh milioni 10, 20, 50 au 100, mara...
33 Reactions
103 Replies
1K Views
Heshima sana wanajamvi, Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia upepo wa mashambukizi makali ya viongozi wa CCM wakimbagaza Makamu Mwenyekiti wa CDM Mh Heche. Ni kawaida katika medani za siasa...
0 Reactions
8 Replies
17 Views
Kwa wale wafanyabiashara mnaokuja kujumua mbao wilaya ya Njombe ningependa kuwataarifu juu ya mabadiliko ya ushuru na kodi ya TRA •Kwasasa wilaya ya njombe wanacharge 3% ya thamani ya mbao zote...
18 Reactions
30 Replies
1K Views
Amekuwa Wakili wa Mamluki walioishitaki Chadema akiwemo Lembrus Mchome anayepinga kufukuzwa Mndeme amekuwa ofisi ya Katibu Mkuu na alipelekwa bungeni ofisi ya KUB Kimsingi, Wakili ana wajibu wa...
7 Reactions
30 Replies
250 Views

FORUM STATS

Threads
2,082,997
Posts
55,991,251
Back
Top Bottom