Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

You were one of my favorite politician by whatever yard stick measure. Je ungelikuwa umepewa nafasi za ULAJI CCM, je ungelitoka CCM kwa sababu ya kukelwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu...
5 Reactions
22 Replies
280 Views
Aliyekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa kipindi cha serikali ya awamu ya tano bwana Diwani Athumani inasemekana amekuwa akiishi chini ya ulinzi mkali sana. Diwani Athumani tangu aondoke...
8 Reactions
33 Replies
570 Views
Katika pitpita zangu mitandaoni, nimekutana na hii habari ya Mark wa Mark Angel Comedy (kama humjui potezea point yangu sio hiyo). Wanaijeria hasa wanawake wanamnanga kwelikweli hata mimi nimeona...
13 Reactions
105 Replies
879 Views
Siku zako na huyo mwanamke ambae haumpi pesa zinahesabika chukua tahadhari. Usije kulia kilio cha mbwa mdomo wazi Husipeleke maua tia hela
7 Reactions
27 Replies
175 Views
Je, kuna wapenzi wa mixed martial arts humu?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
wakuu nina swali la kisaikolojia. Rafiki yangu alipata taarifa asubuhi kuwa baba yake amefariki na kwa sababu yuko nje ya nchi hakuweza kuhudhuria mazishi yaliyofanyika siku hiyo hiyo si unajua...
6 Reactions
44 Replies
304 Views
eFootball ni mchezo wa simu unaohusisha mpira wa miguu, na hapa kuna habari muhimu kuhusu mchezo huo: ▫️Jina na Kurekebishwa: Mchezo huu awali ulijulikana kama "Pro Evolution Soccer" (PES)...
26 Reactions
16K Replies
265K Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
125 Reactions
415K Replies
15M Views
Akiongea hivi punde kupitia Podcast ya 'Royal" mwandishi nguli wa habari nchini Tanzania Pascal Mayalla, kasema watu waliouliwa Oktoba 29 kama walikuwa wanaandamana, waliuliwa kwa sababu vyombo...
17 Reactions
149 Replies
2K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
164 Reactions
657K Replies
41M Views

FORUM STATS

Threads
2,062,343
Posts
55,491,079
Back
Top Bottom