Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ilikua siku ya ijumaa, majira ya saa sita mchana nikiwa maeneo ya kilimahewa bondeni, kuna mteja wangu wa sabuni aliniagiza nimpelekee kwake nikiwa getini alitoka nikampatia mzigo wake akanipa...
8 Reactions
44 Replies
384 Views
Tangu lini wanaume tukawa na kikao kinachotutaka tushone sare? Hili ni jambo la hovyo mno. Haina tofauti na Kitchen party galla. Mbaya zaidi kikao kilikuwa cha kuchambana na kusemana vibaya...
6 Reactions
39 Replies
458 Views
Mke wangu nimeishi naye wastani wa miaka 4 sasa alikuwa mnyenyekevu, mpole, si muongeaji sana hata akiwa na wenzie, heshima kwangu ni miongon mwa vitu nilijivunia kuishi naye, kuniskiliza na...
14 Reactions
70 Replies
2K Views
Siku mbili zilizopita, gaidi wa Hezbollah Abbas Awala alionekana katika moja ya video za Hezbollah akiendesha kifaa cha kurusha roketi huku akiwa amevaa sanda ya mazishi, tayari kwa kifo chake...
2 Reactions
15 Replies
182 Views
Wakuu, Narudia tena watz bado tupo fo fo fo Hivi karibuni niliamua nikazuru boda nikacheki maana sijawai toka nje ya nchi. Nikaamua kwene Border ya kenya na Tz. Nililala sirari aisee pale ni...
5 Reactions
27 Replies
255 Views
  • Featured
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imewataka wadau wote wa sekta ya usafirishaji nchini, kutopandisha nauli kwa kigezo cha kupanda kwa bei za mafuta na badala yake wafuate utaratibu...
9 Reactions
62 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza wajuz wa mambo mnaofahamu juu ya hili jambo Tumeambiwa uganda anachimba mafuta na tunachimba bomba toka huko had tanga kwa ajil ya mafuta hayo Wakat huu tulionao hawez...
3 Reactions
23 Replies
245 Views
Neno Amina linatofautisha matamko ya Yesu na wengine Maandiko, katika kitabu cha Ufunuo 3:14, yanasema, kama ifuatavyo: “Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye...
0 Reactions
3 Replies
31 Views
1.Usiende moja kwa moja nyumbani unapotoka makaburini.. Simama kidogo mahali zuga kwa muda kidogo then nenda kwako 2. Usiweke alama ya KARIBU nyumbani kwako si kila mtu ni wa kukaribisha na hapo...
5 Reactions
19 Replies
66 Views
Meta AI and me with my broke English......
2 Reactions
4 Replies
80 Views

FORUM STATS

Threads
2,049,405
Posts
55,183,501
Back
Top Bottom