Tetesi nilizodaka toka kwenye vyombo vya usalama ni kwama Nchimbi hayupo Tanzania.
Ametoweka kuogopa kutekwa
Wanangu chimbeni na kufuatilia hili ili tuivue nguo CCM.
Kero yangu ni Ofisi ya Kata ya Gongo lamboto iliyopo Pugu Kona, Maafisa Biashara wa Halmashauri wamekuwa wakikamata Wafanyabiashara na wasiokuwa na leseni au wenye leseni lizizoisha na wengine...
Msanii Ebitoke alie kuwa akitumia lafudhi ya kihaya, kuonekana akiwa uchi wa mnyama, bodaboda walipo mtambua ndio kumvisha nguo.
Huko nyuma ebitoke aliwahi kudai rafikiye Lola anataka kumuua...
Naitwa David Frank Kameta, baada ya kupata wakati mgumu muda mrefu ikiwepo kusalitiwa na mtu ambaye nilimuamini, sasa naona ni bora Dunia ijue kinachoendelea. Hapa nazungumzia usaliti wa rafiki...
Hawa wanawake wa mjini wanaozungumza wakitamka maneno kwa madoido kama wanameza ulimi ni vituko haswa.
Mtu anakaribisha kwenye biashara anasema karrlibu "chakurrla" badala ya "karibu chakula''...
Maisha ni safari ndefu na changamoto nyingi..!Hofu nyingi na kukata tamaa kwingi..!
Na ni jambo la kawaida kibinadamu kukumbana na nyakati ambapo imani ya maneno haitoshelezi kukabiliana na hofu...
MSaada jamani mimi napataga wanaume wa binafsi tu .
MF. Hai Tate Mkuu huyu baba anahela sana tu ila kunipa aah yeye anipa zile kuku za wateja tu.
YAani mtu unampa muda wako upendo unamjali ila...
Kuna kipindi kwenye maisha unakaa kimya na kujiuliza, “Hivi kweli nilifikaje hapa nilipo?”
Wengine wanaona tabasamu lako na kudhani kila kitu kiko sawa. Hawajui ni vita vingapi umepitia kimya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.