Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Namaste wakuu Pale unapopungukiwa pesa ukaenda kumkopa mtu labda rafiki, ndugu, jamaa kuna ulazima wowote wa kuelezea shida zako. Mfano "Ndugu yangu nikopeshe laki mbili yaani hapa sielewi...
5 Reactions
17 Replies
52 Views
Kila enzi na nyakati zake.. Kipindi hicho najiunga JF kuna ma konki niliowakuta .. Aisee hao wakikutana kwenye mada hapatoshi Hawa ndio walisababisha kuibuke nyuzi za makapuku forum na tupia...
28 Reactions
598 Replies
3K Views
John Heche ni moja ya viongozi ambao wapo loyal na harakati za upinzani na amekulia humo tangu akiwa kijana mdogo. Na alikuwa chaguo zuri sana la kuwa Makamu Mwenyekiti ila tu katika mazingira...
2 Reactions
4 Replies
53 Views
Kibaka akitaka kumwibia mwanamke, kwanza kabisa ataangalia kama ameongozana na mwanaume. Muuza magari akitaka kumuuzia mwanamke gari bovu au kumpiga kwenye bei, ataangalia kwanza kama yupo na...
3 Reactions
18 Replies
112 Views
Wanataka Marekani aingilie Tanzani. Wanasahau wakiingilia kama Iran majengo ya chadema na afisi za wanaharakati nyingi zitapigwa drone
1 Reactions
27 Replies
124 Views
Habari wakuu, Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, MAENEO KUANZIA Afrikana,mbuyuni,Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe,kwasasa kumejengeka...
15 Reactions
157 Replies
12K Views
Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Iran (IRGC) kimekiri: Majid Khadami, mkuu wa Kurugenzi ya Ujasusi ya IRGC, ameangamizwa na vikosi vya israel Inasemekana aliuawa katika shambulio...
0 Reactions
1 Replies
31 Views
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amethibitisha kuuawa kwa maafisa wawili wakuu ambao walikuwa wakitafutwa kwa muda mrefu kutokana na kuhusika kwao na vitendo vya kigaidi duniani. Kuuawa...
0 Reactions
6 Replies
56 Views
Kuna maudhi yanayoendelea kwenye customer care au call centre za Tanzania ambayo hatuwezi kuyafumbia macho. Na mengi ya maudhi haya yako mashirika ya simu, na mengine yanayotoa huduma nyinginezo...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Bado mtatudanganya Muungano Una faida? Bado mtatudanganya faida za Muungano ni pamoja na usawa wa kiuchumi? Tanganyika mafuta 4000 Kwa lita Zanzibar 2900? Kwamba kodi za mafuta Tanganyika...
11 Reactions
29 Replies
574 Views

FORUM STATS

Threads
2,049,952
Posts
55,198,061
Back
Top Bottom