Namaste wakuu
Pale unapopungukiwa pesa ukaenda kumkopa mtu labda rafiki, ndugu, jamaa kuna ulazima wowote wa kuelezea shida zako.
Mfano
"Ndugu yangu nikopeshe laki mbili yaani hapa sielewi...
Kila enzi na nyakati zake.. Kipindi hicho najiunga JF kuna ma konki niliowakuta .. Aisee hao wakikutana kwenye mada hapatoshi
Hawa ndio walisababisha kuibuke nyuzi za makapuku forum na tupia...
John Heche ni moja ya viongozi ambao wapo loyal na harakati za upinzani na amekulia humo tangu akiwa kijana mdogo.
Na alikuwa chaguo zuri sana la kuwa Makamu Mwenyekiti ila tu katika mazingira...
Kibaka akitaka kumwibia mwanamke, kwanza kabisa ataangalia kama ameongozana na mwanaume.
Muuza magari akitaka kumuuzia mwanamke gari bovu au kumpiga kwenye bei, ataangalia kwanza kama yupo na...
Habari wakuu,
Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, MAENEO KUANZIA Afrikana,mbuyuni,Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe,kwasasa kumejengeka...
Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Iran (IRGC) kimekiri: Majid Khadami, mkuu wa Kurugenzi ya Ujasusi ya IRGC, ameangamizwa na vikosi vya israel Inasemekana aliuawa katika shambulio...
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amethibitisha kuuawa kwa maafisa wawili wakuu ambao walikuwa wakitafutwa kwa muda mrefu kutokana na kuhusika kwao na vitendo vya kigaidi duniani.
Kuuawa...
Kuna maudhi yanayoendelea kwenye customer care au call centre za Tanzania ambayo hatuwezi kuyafumbia macho. Na mengi ya maudhi haya yako mashirika ya simu, na mengine yanayotoa huduma nyinginezo...
Bado mtatudanganya Muungano Una faida? Bado mtatudanganya faida za Muungano ni pamoja na usawa wa kiuchumi?
Tanganyika mafuta 4000 Kwa lita Zanzibar 2900?
Kwamba kodi za mafuta Tanganyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.