Askofu Kinyaiya: Ukistaafu nenda kwako kapumzike, Usitese watu nyuma ya mwingine

Askofu Kinyaiya: Ukistaafu nenda kwako kapumzike, Usitese watu nyuma ya mwingine

Akitoa salamu za Pasaka kawaasa wasitaafu wapumzike wasitumie viongozi waliopo madarakani kuwaumiza watu.

Ujumbe umfikie.

View attachment 3567889
Naona maaskofu wa Tanzania wengi wanatumia Akili na kuongozwa na roho mtakatifu juu ya yanayoendelea.

1.Angalia barua za kwaresima.
2.Somo la pili Mazishi ya Pengo
3.Askofu Bagamoyo juzi
 
Back
Top Bottom