Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna sababu kadhaa zinazojadiliwa na wasomi wa Biblia kuhusu kwa nini waandishi wa Injili (Marko, Mathayo, Luka, Yohana) hawakumtaja Paulo hata mara moja, licha ya kwamba yeye ndiye aliyeeneza...
2 Reactions
18 Replies
568 Views
Poleni sana Chadomo Kwa hili pigo na kuendelea kujaza maji kwenye neti. https://www.instagram.com/p/DWoXSBYDJyh/?igsh=MTMzZ3c3aXRvNHpueQ== My Take Hakuna fitina mtafanya dhidi ya maslahi ya Nchi...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Habar kaka zangu naomba Kwa wale waliongeza uume watuambie inawezekana ,je effect zake na kama inawezekana dawa ipi ulitumia?
1 Reactions
11 Replies
15 Views
Moja ya mambo ambayo yamekua changamoto kwa wadau wengi ni malalamiko juu ya umeme kuisha haraka pasipokujua nini sababu. Leo kelphin ntakupa au ntakukumbusha jambo moja au zaidi ya kuzingatia...
33 Reactions
74 Replies
7K Views
Mi ni Mwanaume mwenye umri wa kati wa 4th floor. Katika kupambana na maisha miaka ya nyuma, niliishi mkoa mmoja kanda ya ziwa. Kutokana na mihangaiko, nikajikuta nimempa mimba binti mmoja ambaye...
19 Reactions
87 Replies
912 Views
  • Featured
Habari... Nipo mkoa wa Tabora nataka kufanya biashara ya kuku na kupeleka Dar es salaam au Dodoma je wapi ni sahihi? Faida za Dodoma Bei inaweza kuwa juu kutokana na nature ya watu wanaoishi...
1 Reactions
14 Replies
106 Views
Yaani kama movie vile, marubani wote wawili wameokolewa ndani ya ardhi ya Iran, hainingii akilini kwamba makobaz wamechapika kiasi cha kushindwa hata kujishikia hao marubani wawili. Hata hivyo...
11 Reactions
94 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika, komandoo Wa Vita...
6 Reactions
43 Replies
249 Views
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo...
29 Reactions
13K Replies
188K Views
Ninaamini katika Mungu wa chanzo na balance ya uwepo huu duniani na beyond ila siamini katika idea ya Mungu iliotangazwa karne na karne maana imekuwa twisted na mis-interpreted Idea ya Mungu...
6 Reactions
14 Replies
97 Views

FORUM STATS

Threads
2,049,806
Posts
55,194,121
Back
Top Bottom