Iran imetangaza imefanikiwa kuidondosha ndege ya kivita ya Marekani
Kwa majibu wa Iran, kwa sasa juhudi zinafanyika kuwasaka marubani wa hiyo ndege, huku ikitangaza donge nono kwa...
Wakuu,
Jana Chivayo alikuwa mjini, na kwenda kusalimia Ikulu kulingana na picha pamoja na melezo aliyoweka.
Safari hii amepewa na maelezo ya kuandika kwenye caption. Unadhani ni mazungumzo gani...
Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi, marefu na ya Kati...
Kwenye pita pita zangu nimeona vijana wakijadili kuwa kwa sasa anaeweza kuja kuwa mfano wa Magufuli na kuirudishia heshima nchi ni Mohammed Mchengerwa ( A PHD Candidate)
Vijana wanaamini kuwa...
Roketi ya NASA ya kwenda Mwezini sasa iko rasmi kwenye eneo la kurushia roketi.
Roketi hii kubwa ya NASA yenye urefu wa futi 322 iitwayo Space Launch System (SLS) imekamilisha safari yake ya...
Familia nyingi sikuhizi kuna watoto wasiozidi watatu, wengi hudhani ni family planning (kuzaa kwa mpango) lakini ukifuatilia kwa ndani ni kutokana na ongezeko la kina mama wanaojifungua kwa...
Ama kwa hakika hii Nchi raia wake wanadharauliwa kuliko hata kinyesi cha binadamu
Pamoja na kashfa zenye ushahidi mwanana uliotukuka lakini Kizigha bado anateuliwa, Ni kama vile CCM haina watu...
Mtu yupo ndani kwake siku nzima, kama hujamzoea unaweza kuhisi kuna shida ila ukiishi hapo kwa muda mrefu unamgundua wala hana shida, haonyeshi dalili za masikitiko, ndo furaha yake,
Anapenda...
Nchi za mashariki mwa bara la Asia kuna falsafa ya kale sana wanayoiamini kuhusiana na muunganiko na mahusiano ya binadamu. Falsafa hii inaitwa Red String Of Fate (Yīnyuán hóngxiàn).
Kwamba, kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.