kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
Siwezi kupoteza muda wangu kumjadili Zitto ni afadhali hata kumzungumzia Lowasa kuwa Rais linaweza kuwa jambo la maana sana. am tired with the same stupidity every time from the Man who think he is Genius na sisi wengine wote mazezeta.
ndio mkuu hebu check hapa
#AMPLIFAYA Sep27 #2 ZITTO KABWE: nitagombea Urais 2015 sitogombea tena Ubunge, kuna watu wanajiona ni CHADEMA zaidi kuliko mimi lakini hawajui. (Post sponsored by ZANTEL )