Duh eee bwana wee mimi mhuni tu wa mujini sina uwezo wa kufundisha elimu UDSM wala sina mahusiano na mtani wangu yule Mukandara. Na kweli sina elimu hivyo nilisoma tu madrasa.. na wala elimu yangu haiwezi kunisaidia kumjua Zitto kama kibaraka au laa. Magufuli na Muhongo wote wameukuta Uhuru tayari umeshaandaliwa na wazee. Wote hawa wamesomeshwa na kukuzwa na UHURU.I am getting to a point I am starting to question this guy Mkandara's educational credibility. Naskia kwamba jamaa anafundisha chuo kikuu. Kwa akili za namana hii nilitegemea awe kiongozi siyo mfuasi. Kwani Mkandara hajui kwamba Zitto ni CCM? Mkandara hajui kwamba kundi la Membe linamtumia Zitto kulichafua CDM?
Tanzania kila ni cha kufoji, sitahangaa huyu mkandara amefoji kitu sehemu. I am very doubtful of his interlectual might and integrity. CCM tunajua kwamba Zitto ni Kibarka. Yeye anachopinga ni nini?
Bw. Mkandara wewe hauoni kwamba hii kauli ni tata? unadhani professa Muhongo au Magufuli wamezaliwa lini? Kwa nini wasiwe kwenye uongozi? Kwamba zitto kasema? You need to evaluate things you post here. Be serious
Usijipe ugonjwa buree, Mimi mtu mdogo sana mbemba box tu. Ukipima watu kwa elimu yao basi utapotea kabisa maana Mugabe ana digrii 8 na nchi yake hohehahe unadhani sababu nini? - UZEE nguvu hana na kichwa hakifanyi kazi sawasawa tena.