Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 743
mkuu chama chetu kinaongozwa na katiba ya chama, so hakuna kipengele chochote ambacho Zitto amevunja, pia inabidi tufike mahali tusiwe sensitive sana ktk kila neno koz tutajikuta tunapoteza lengo la kupigana na adui (CCM).
Plz lets buld our CDM.
Well said!
Bora wanaCDM wote wangekua na mawazo ya aina hii tungekua hatupotezi muda kubishana hapa bali tungekijenga chama huku tukisubiri muda useme!
Once again, thank you Shardcole.