WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
I dont see anything wrong kama Zitto alikutana na Wema wakawa na mazungumzo ya mda mrefu. What is wrong with that? Kwani ukiwa mbunge..jamani huruhusiwi kuwa na social life? Hata kama angekuwa anaomba ammegee..whats wrong with that? Jamani after all Zitto is just a young man with human needs just like me and you. Unajua mimi nimeona ni breaking news..nikajua labda mheshimiwa amefumaniwa au something related to that..
I really dont see anything wrong with this. Hii habari huwezi kuiita udaku wala siasa..kifupi haina substance yoyote...maana Zitto kukutana na Wema wakafanya maongezi..hakuna ubaya. Sema tuu basi..people want to create news/attention even where it doesnt exist.
Mheshimiwa Zitto..wewe kama unaomba umegewe..Kila lakheri mkuu...ila..ushauri wangu: Play it safe!
Masanja,
thats the thing..ndiyo maana kuna wachangiaji wanasema hii thread imekaa kiudaku - tabloid stuff