Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
Ccm wametufikisha pabaya sana maana hata kama ni ugonjwa wa kawaida kwa mwanadamu yeyote, wanamageuzi wanahisi mchezo mchafu unafanyika. Anyway, for better or worse, tunakuombea kamanda upone haraka ili kuendelea na mapambano ya ndoto yako na watz wote ya kuirudisha dola kwa wananchi mnamo 2015.