Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,844
- 59,536
Aka!Mnajifunza wenyewe,especially mkikutana na msichana anaejionyesha/onekana kwamba yeye ni matawi...mnaweka uongo ili muonekane na nyie mpo juu!Kua mkweli...sio wote wanakimbiza pesa au status!You are right :A S thumbs_up: lakini mwisho wa siku mnatufundisha kudanganya:coffee: