Hata sijachakachua napigwa juu kwa juu:Cry:
Kaka! Mapenzi ayanipeleki jela. Nimeshatembea na wake za watu. Nimeshafanya utafiti wa kutosha, nafahamu udhaifu wao kwa kiasi kikubwa. Hata nikimegewa sioni tatizo.NICE experience, Ila huo usugu hapana mpaka kwa mywife!!!! :car:
Jaribu kufanya utafiti kwa kuwauliza wanaokupiga vibuti sababu ya wao kukufanyia hivyo. Hapo ndipo utapata jibu na hilo litakusaidia kujirekebisha. Msaada zaidi ya ushauri huu usiutegemee; labda kama unataka kuongeza idadi ya posts zako hapa JF maana nimeona ndio tabia za wengi humu, which for me i see is nonsense.
Sababu nyingine ni kulinga au kujiona wewe ndo mwanzo mwsho!maduu wengine hawapendi wanaume wenye maringo coz ni wepesi sana kuwadharau watu wengine!Tambua mwanamke mwenye busara havutiwa kuwa na mume mwenyedharau!
mademu wangu wote wana tabia kama zako
Mkuu ndio kwanza kinachanganya nashindana na mkere kuzurura... zote hela hizo :car:
kwa maelezo yako nahisi ww ni m2 average kiuchumi, SHIDA apa nahisi uko serious sana kwa sababu ya ubize wa maisha au iyo timu yako inafungwa kila weekend!
so what you do be simple, easy to reach where every girls feels safe to be. ongea mambo ya kawaida sana na mademu hasa ya kimaisha kwa ujumla. kuwa msafi, pata pafyum kwa mbali_casablanca may b. usijisifu directly kuwa mjanja haki nakwambia utamtongoza demu kwa neno moja 2 ni wako Milele. watakutafuta wenyewe ww utaishia kuchagua anaye faaa.
ukisha mpata then endelea na tabia iyo, mpira nini mgosi.
Simple like drinking Kilimanjaro water.
Natafuta wa mnyongee nami nimege. Ila mke wa mtu inaitaji umakini wa hali ya juu. La sivyo unaweza megwa jichoKwa hiyo akimegwa nawewe una mega????
Kabisa!Unafikiri ukitongoza mwanamke na ukamwambia ukweli atakubali?
Kwangu mimi ukicheat tu sina msamaha!!
Kabisa!
Mkuu nataka mmoja tu wa kumiliki jumla!
Kwa hiyo nisiende kuangalia mpira wa Manchester na Arsenal au Simba na Yanga simply because unataka attention??
Kaka! Mapenzi ayanipeleki jela. Nimeshatembea na wake za watu. Nimeshafanya utafiti wa kutosha, nafahamu udhaifu wao kwa kiasi kikubwa. Hata nikimegewa sioni tatizo.