Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Aiseee ngoja nami nikuambie kitu (wanga wengi, ngoja nikufuate PM)
Nimerudi najibu mwenyewe....
ndio uanze kusema oohh obama kaka yangu,mengi ni mjomba wangu,alafu mm ndio nalimiki serena hotel ujue
alafu sipendi baba anavonilazimisha eti aninunulie jet wakati mm sitaki kabisa ...then unamgeukia eti we unaonaje au nimuambie anunue then nikupe wewe swt...hahhaha u made ma day
Erickb52 ni kwann ulikua haupendi kuvaa nguo ingawa umri wako ulikua mkubwa tu
View attachment 56501wakati unajibu maswali yetu nilikua nashauri uje ukae hapa mahali patulivu ili uweze kufikiri vizuri zaidi....najua hali a hewa mahali hapa itakuafanya ufikiri freshView attachment 56502View attachment 56503