Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Aiseee ngoja nami nikuambie kitu (wanga wengi, ngoja nikufuate PM)Kuna ubaya gani????!!!!kama anavutia mi nifanyeje? Ila nikunon'goneze kitu(hata mimi niko ivo ivo)
Aiseee ngoja nami nikuambie kitu (wanga wengi, ngoja nikufuate PM)Kuna ubaya gani????!!!!kama anavutia mi nifanyeje? Ila nikunon'goneze kitu(hata mimi niko ivo ivo)
akimaliza kuvuta anaanza kujiona bonge la HB utamkuta mipozi inabadilika namna hiiView attachment 56504
Niliwafuma Continental kwenye Khanga Moko laki si Pesa...babu @Aspirin inaelekea wewe nipaparazi uliyebobea katika hiyo fani. hivi uliwafuma wapi hadi ukawapiga hii picha?
Picha ya mwanao siwezi kuiweka hapa labda hii ya boifrendi wako..... Hivi wewe ndo ulimtoboa pua?Hahahaaaaa halahala humu ndani tusije tukatolewa picha za watoto zetu....lol
Niliwafuma Continental kwenye Khanga Moko laki si Pesa...
Erick52 ulishawahi kubaka?
Hawa watakua na filimbi, si bure
Nimependa kicheko chako... kimenikumbusha mbali sana...Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Picha ya mwanao siwezi kuiweka hapa labda hii ya boifrendi wako..... Hivi wewe ndo ulimtoboa pua?
YummyHahahaaaaa halahala humu ndani tusije tukatolewa picha za watoto zetu....lol
hilo pozi la mshikaji ka chura jamani hahhahah uwiiiiiNimependa kicheko chako... kimenikumbusha mbali sana...
We huoni nimemiliki mabinti wawili hapo? Chezeya mimi wewe? Mi ndo ODM bana.hilo pozi la mshikaji ka chura jamani hahhahah uwiiiii