CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Duh hapo sikujibu mimi...ni ndovu hizo..
Jibu langu ni kuwa niko single but occupied
co valuu,au umeongezewa na ndovu?
hehehee ala Erotica mambo yako si mchezo dah mtoto utadhani ndocumetoka unyagoni jana mhHayo maswali hayajakamilika. Hujui Eric alisha come this way
kwa Ero tukabanjua wiki nzima? au hugusii mmeweka siri?
teh bora ndovu nimezizoea valuu zitaniua bhana lol
ericB52 :-
- umewahi kufumaniwa?
- umewahi kukataa mimba ngapi?
- wewe na wasichana wako mshachoropoa mimba ngapi?
- ushawahi kutembea na demu wa rafiki yako?
- umeajiriwa?
- ushawahi kugonga demu wa ofisini kwenye choo cha ofisi?
- ushawahi kumla bosi wako wa kike?
- ushawahi kutembea na jimama aka jibibi?
- ushawahi kujivinjari threesome?
- ushamcheat amyner mara ngapi? Na nani?
pouwa chalii angu!
teh bora ndovu nimezizoea valuu zitaniua bhana lol
Ni kweli namiliki hizomali ila nimezipata kwa safari zangu za kijazi nje ya nchi plus biashara yangu ya softwar yenye makao makuu yake NairobiMhe "Fifty two" habari nilizozithibitisha Ar una Banga mbili za adabu, moja Njiro container na ya pili Sanawari.
Dar una nyumba Mbezi beach umewapangisha Amreef, na Mwz unamiliki nyumba mbili Capri point na zote zina wapangaji.
Mkubwa kwa mali zote hizi na kwa umri wako hakuna ufisadi wowote kukuhusu?
Sababu upo ushahidi kua kwa nyakati tofauti umepata kumiliki vitalu vya uindaji wakt wa Mhe Maige.
Hahahaha........... umeamkaje Yummy? Umefanya mazoezi au nije nikusaidia? Naona ushaniita mtu wako, na mtu wako mie nna aleji na vitambi.
Umeona enzi zangu na Mtambuzi? Kipindi hicho tulikuwa bado tuna sura ya Mungu
Huyu Erickb52 alikuwa bado kuzaliwa. Afu we Zinduna.... mbona huyu kijana haji kujibu maswali yetu?
Duh hapo sikujibu mimi...ni ndovu hizo..
Jibu langu ni kuwa niko single but occupied
occupied we ni matter?