Ziara ya dr. Bilal (Mbeya) yadoda

Hii ni kijiji gani huko mbeya?hapa sio mjini asilani,msitudanye tafadhali.kakusanya waalimu na wanafunzi ndo wamejaa.labda angetembea na Origional Commedy-Masanja mropokaji.

picha za kipindi cha kampeni 2010
 
1m.jpg
 
mmeamua kutuwekea picha za uchaguzi sio??? huyu jamaa siku anavaa suti
 
Hahahaaaa kishindo cha siafu hiki, kwa CDM ni sawa na kishindo cha Katibu wa shina.....msijifariji ujinga hapa
 
picha z kampeni baada ya watu kupewa kofia na tshirts..kama ni ziara ya kiongozi wa nchi kwanini avae nguo za CCM ?
 
Unatufanya sisi watoto wadogo sio?Makamu wa rais umemuona baada ya kuapishwa au ni ndoto za mchana?Hizi ni picha za kampeni wewe unatuletea mambo ya ajabu kwenye JF?Aende Mbeya kuwaeleza nini wanakyusa?hao ni wasomi so hawadanganyiki ht kidogo, jaribu kupost ideas zako kwenye website ya chama chenu na sio hapa.
 
SIR NAME: BILAL

OTHER NAMES: MOHAMMED GHARIB

PLACE OF BIRTH: ZANZIBAR

MARITAL STATUS: MARRIED

SEX: MALE

NATIONALITY: TANZANIAN

PERMANENT HOME ADDRESS: P.O.BOX 234 ZANZIBAR

COUNTRY OF RESIDENCE: ZANZIBAR

EDUCATIONAL BACKGROUND

1967: AWARDED B.Sc (PHYSICS) HOWARD UNIVERSITY USA

1969: AWARDED M.Sc (PHYSICS) UNIVERSITY OF CALIFORNIA

(BERKLEY) USA

1976: AWARDED PhD (PHYSICS) UNIVERSITY OF CALIFONIA
(BERKLEY) USA

: NUCLEAR PHYSICIST

WORKING EXPERIENCE


CURRENT STATUS: VICE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
CHAIRMAN OF THE BOARD UNIVERSITY OF DODOMA

PAST EXPERIENCE IN CIVIL SERVICE

1990-1995: PRINCIPAL SECRETARY MINISTRY OF SCIENCE
TECHNOLOGY AND HIGHER EDUCATION TO THE
UNION GOVERMENT.

1976-1990: UNIVERSITY OF DAR ES SALAAMDEPARTMENT
OF PHYSICS
1982-1988: HEAD OF THE DEPARTMENT OF PHYSICS

1988-1990: DEAN OF THE FUCULTY OF SCIENCE

OTHER POSITION AND RESPONSIBILITIES
MEMBER OF VARIOUS DEPARTMENT OF THE UNIVERSITY
OF DAR ES SALAAM - ACADEMIC COMMITTEE

SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICUKTURE, MOROGORO
TANZANIA

1988-1990: CHAIRMAN SCIENCE COMMITTEE OF INTER
UNIVERSITY COUNCIL OF EAST AFRICA

198 8-1990: BOARD MEMBER; COMMISSION OF SCIIENCE AND TECHNOLOGY

1893-1990: BOARD MEMBER; NATIONAL RADIATION COMMISSION

1988- 1990 MEMBER NATIONAL EXAMINATION COUNCIL

1989- 1995 MEMBER OF THE ROCKFELLER FOUNDATION FORUM
FOR CHILDREN EDUCATION IN SCIENCE AND
TECHNOLOGY


PROFESIONAL INTEREST
REDIATOIN PHYSICS
MEDICAL PHYSICS
APPLICATION OF NUCLEAR TECHNIQUES TO ENVIRONMENTAL SCIENCES
INNOVATIVE APPROACH TO SCIENCE
EDUCATION

Sasa uranium yetu inashughulikiwa na nani, Labda tumpeleke Sugu na Komba:decision:
 
Unatufanya sisi watoto wadogo sio?Makamu wa rais umemuona baada ya kuapishwa au ni ndoto za mchana?Hizi ni picha za kampeni wewe unatuletea mambo ya ajabu kwenye JF?Aende Mbeya kuwaeleza nini wanakyusa?hao ni wasomi so hawadanganyiki ht kidogo, jaribu kupost ideas zako kwenye website ya chama chenu na sio hapa.

kwani hii website ya chadema???
 
Hivi huyu jamaa , mbona sijasikia kafanya uamuzi wowote? Hata sauti yake huyu huwa hasikiki kabisa
 
Kutua kwa Kishindo kutasaidia nini?

Kuondosha mgao wa Umeme?
Kupunguza Malipo ya DOWANS?
Kuopunguza mfumuko wa Bei?
Kufanya Hospitali ya Rufaa ya Mbeya kuwa ya Kimataifa?
Kukamilisha Ujenzi wa uwanja wa Ndege?
Kutatua matatizo ya Wakulima (hasa Mbarali)?

Give me a break!!
 
Back
Top Bottom