Ziara ya dr. Bilal (Mbeya) yadoda

Wewe ni oyoyoo au poyoyo? hivi CCM iitishe mkutano wa hadhara ( acha maandamano ) itampata nani wa kuja kuwasikiliza hao watu wenye kaswende za ubongo? sasa hivi hata wajumbe wenu wa CCM wavibanda kumi kumi ( maana nyingi hazina hadhi ya kuitwa nyumba ) hawawezi kuhudhuria mikutano yenu bila kupewa kanga, Tshirt na kofia pamoja na posho, sasa unanishangaza ukiongelea maandamano CCM itampata nani kushiriki hayo maandamano yake? nijuavyo mimi utamaduni wa maandamano ya CCM siku zote ni kumpongeza JK basi, nayo huwa yanaandaliwa na viongozi viherehere ambao kwao wao siasa ni kujipendekeza, na mtaji wao ni watu kama wewe ambao mmesaliwa na uti wa mgongo tu ambao unawatambulisha kama binadamu bali ubongo hamna kitu maana ni kaswende tupu.

We Matola, acha kuwasema wenzako vibaya hivyo, MUNGU HAPENDI.........
 
Wewe ni oyoyoo au poyoyo? QUOTE]

Mimi ni mkuu Oyoyoo Kama hujawahi nisikia sikiliza kwa J-Martins. Lakini licha ya kudhani username yako ni ya kishalobaro kumbe hamna kabisa ni ya kule kule uswazi? MY TAKE siku nyingine usishambulie username za wenzako concentrate na hoja
 
hiki kikongwe kilipewa madaraka only for conviniency. Hakina loloto kwanza hakina afya kabisa-- what a useless scrap!!!
thanks jk for the news. Yalishaanza kusemwa mengine humu. Kumbe mbeya bado hawajachafuliwa. Big up to them.
 
Hiyo ni Mbeya ya wapi, kama si vijijini ambako waliofika wameenda kushangaa sura tu ya babu huyo. Mimi niko Mbeya, wala hakuna hata vuguvugu kwamba kiongozi mkubwa wa HADHI YAKE kuwapo hapa jijini. Hakuna lolote ni wo wo wo tu.
 
Wananchi wanajua cheo cha Makamu wa Raisi ni ceremonial position tu, hana mamlaka ya kufanya wala kuamua lolote katika nchi hivyo kwenda kumsikiliza au kutoa dukuduku zao kwa mtu aliyekuja tu kukata vitambaa ni kupoteza muda!!

Nadhani ifike mahali cheo hiki sasa kifutwe.

Hata nafasi ya urais, jaji mkuu, waziri mkuu, spika, uwaziri, ukuu wa mkoa, wilaya zimegeuka kuwa ceremonial tu. labda wakurugenzi wa wilaya, maana ndiyo hao waziri mkuu na kamti zao za bunge zinawatwisha lawama za kutowajibika. the rest of all positions ni ceremonial tu.
 
SIR NAME: BILAL

OTHER NAMES: MOHAMMED GHARIB

PLACE OF BIRTH: ZANZIBAR

MARITAL STATUS: MARRIED

SEX: MALE

NATIONALITY: TANZANIAN

PERMANENT HOME ADDRESS: P.O.BOX 234ZANZIBAR

COUNTRY OF RESIDENCE: ZANZIBAR

EDUCATIONAL BACKGROUND

1967: AWARDED B.Sc (PHYSICS) HOWARD UNIVERSITYUSA

1969: AWARDED M.Sc (PHYSICS) UNIVERSITY OF CALIFORNIA

(BERKLEY) USA

1976: AWARDED PhD (PHYSICS) UNIVERSITY OF CALIFONIA
(BERKLEY) USA

: NUCLEAR PHYSICIST

WORKING EXPERIENCE


CURRENT STATUS: VICE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
CHAIRMAN OF THE BOARDUNIVERSITY OF DODOMA

PAST EXPERIENCE IN CIVIL SERVICE

1990-1995: PRINCIPAL SECRETARY MINISTRY OF SCIENCE
TECHNOLOGY AND HIGHER EDUCATION TO THE
UNION GOVERMENT.

1976-1990: UNIVERSITY OF DAR ES SALAAMDEPARTMENT
OF PHYSICS
1982-1988: HEAD OF THE DEPARTMENT OF PHYSICS

1988-1990: DEAN OF THE FUCULTY OF SCIENCE

OTHER POSITION AND RESPONSIBILITIES
MEMBER OF VARIOUS DEPARTMENT OF THE UNIVERSITY
OF DAR ES SALAAM - ACADEMIC COMMITTEE

SOKOINEUNIVERSITY OF AGRICUKTURE, MOROGORO
TANZANIA

1988-1990: CHAIRMAN SCIENCE COMMITTEE OF INTER
UNIVERSITY COUNCIL OF EAST AFRICA

198 8-1990: BOARD MEMBER; COMMISSION OF SCIIENCE AND TECHNOLOGY

1893-1990: BOARD MEMBER; NATIONAL RADIATION COMMISSION

1988- 1990 MEMBER NATIONAL EXAMINATION COUNCIL

1989- 1995 MEMBER OF THE ROCKFELLER FOUNDATION FORUM
FOR CHILDREN EDUCATION IN SCIENCE AND
TECHNOLOGY


PROFESIONAL INTEREST
REDIATOIN PHYSICS
MEDICAL PHYSICS
APPLICATION OF NUCLEAR TECHNIQUES TO ENVIRONMENTAL SCIENCES
INNOVATIVE APPROACH TO SCIENCE
EDUCATION


Mtanzania umaskini wake haundolewi kwa kutujazia ukurasa mzima wa Cv's za mtu, bali watu wanataka positive results, kama yeye ni mtalaam wa nyuklia sisi tunahitaji mtaalamu wa kuondoa umaskini basi. nukta.
Swali hivi unaijuwa elimu ya Jacob Zuma Jayzee?
 
Mwenekiti wenu alikiita ni chama cha msimu,leo mnashindana nacho eti kujaza watu mikutanoni ???,nazidi kuamini nilifanya chaguo sahihi Novemba,.Tuko gizani,mfumuko wa bei juu,maji safi hakuna,shule mbovu,...sijui mlitaka madaraka ili mfanye nini?? Au mshindane kubadili suti..
 
Sasa amekuja kama Makamu wa Rais au kama Mgombea Umakamu wa Rais au kama Mmoja wa viongozi wa CCM?

  1. Kama amekuja kama Makamu wa Rais, basi naye fisadi mkubwa na hii ni dharau hata kwa Watanzania....! Iweje akatumia magari ya serikali, mafuta ya serikali, posho za serikali, ulinzi wa serikali, na jina la serikali huku akiitangaza Chama Cha Mapinduzi? Pengine naye amechanganyikiwa na walaki wake....!
  2. Kama amekuja kama Mgombea Umakamu wa Rais, basi sawa, lakini acheni kutishia nyau, maana tunafahamu kuwa kila walipokuwa wakipita wanakuwa na "the comedy", na viburudisho vingine, pamoja na usafirishaji wa watu kutoka sehemu za mbali kufika pale....!
  3. Kama amekuja kama kiongozi wa CCM, basi wamechanganyikiwa sana hawa....! Nchi yetu inakabiliwa na mfumuko wa bei, mgao wa umeme, nk. lakini wao badala ya kufanya kazi hizo walizoomba, bado wananadi chama chao....! Basi ni dhahiri kuwa hawakufaa kupewa nafasi hiyo....!
 
makamu wa rais toka wakati wa kampeni hajavaa tena magwandaya chama na vilevile ana body guard siku hizi.wewe jk huna hata haya kusema uongo wa namna hiyo?
yaani unaidhalilisha nchi yetu makamu wa rais alindwe na kibabu kilichochoka namna hiyo?
kweli ccm ina wenyewe
 
Ndio niliona picha kwenye gazeti, ni yeye. Lakini sina uhakika kama alitumia pesa ya walipakodi kupumzika SENAPA, hata yeye si anlipwa mshahara? Atakuwa alitumia mshahara wake, aahaaaa, ....nimekumbuka......walinzi wake, dereva.....walilipwa kutoka huko ulikosema......
Kiongozi waulize maana kama alienda kwa safari yake kifamilia sidhani kuwa aliwaambia waende, hili ni swali la kujibiwa na TISS
 
Ni ngumu kushindana na UKWELI ambao wewe mwenyewe unaujua vilivyo moyoni mwako!!
 
Pamoja na kutangaza kwa siku 2 kila mtaa wa jiji la mby watu hawakujitokeza kumpokea vp dr. Bilal, hii inaashiria nini?

Wanyakyusa na wasafwa hawana unafiki. Wamefanya kile kilichomo moyoni. Kwa ufupi ni kwamba wameikana sisiem na mambo yake yote na kazi zake zote, basi hakuna cha zaidi.
 
Hata kwa kuangalia picha zako, Idadi hiyo ni chini ya robo ya Idadi ya waliokuwepo katika mikutano ya Chadema kanda ya Ziwa. Subiri Chadema waje Mbeya. Halafu ulinganishe. Lakini pia utuambie kati ya hao waliokuwepo wangapi walikodiwa magari ya kuwapeleka hapo? Pkipiki ngapi zimejazwa mafuta na CCM? Chadema hawafanyi hivyo hata kidogo. Matangazo tu ndo watayatoa.

You are right! Jingine ni upigaji picha tu. Focus ya kamera inaweza wafanya watu waonekane wengi kumbe wachache. Ujanja huo wameutumia sana TBC wakati wa kampeni. Walichokuwa wakikifanya ni ku-focus mhutubiaji na waliomzunguka tu kuonesha watu wachache kwenye mkutano and the vice versa.

All in all wingi wa watu si hoja, hoja ni je hao waliopo hapo wanaelimu kiasi gani kuhusu haki zao za msingi.
 
Ujua kuwa kichaa kunaanza taratibu, kama mtu alifatilia taarifa na alikuwapo Mbeya kabla Makamu hajaenda huko safari yake ilitangazwa rasmi nini majukumu yake. Hakuwa na mikutano ya hadhara wala ziara hiyo haikuwa ya maandamano kama CDM mlivyozoea. Ni wakati sasa kabla mtu hujaamka na hoja finyu utafakari kabla ya kuandika maana hapa Pinda kaenda Kagera mmeanza oooh anaenda kufuta cheche za CDM, CDM ni chama cha upinzani na hao ni viongozi kazi yao ni kutazama maendeleo na sio kupiga maneno. MY TAKE: Nawashukuru wananchi wa Mbeya kubakia wakifanya kazi zao za maendeleo maana maendleo hayaji kwa maandamano ama mikutano ya hadhara bali kufanya kazi kwa saa nyingi na kujituma.


ivi walibaki kufanya kazi au
 
Dr Bilal kaacha Historia Mbeya

ISMAN+1.jpg

Tutake radhi Jeykey..

Huu ni mkutano wa kampeni wa Dr. Bilal katika kijiji cha Isimani mkoani Iringa September 27, 2010.

Check: Francis Godwin ni mzee wa matukio daima: DR. MOHAMED BILAL APOKELEWA KWA SHANGWE IRINGA
 
Wanyakyusa na wasafwa hawana unafiki. Wamefanya kile kilichomo moyoni. Kwa ufupi ni kwamba wameikana sisiem na mambo yake yote na kazi zake zote, basi hakuna cha zaidi.[/QUOTE]

Ziara hiyo haikuwa ya CCM ilikuwa ziara ya kazi na kazi ilimalizaka na sasa Makamu anachapa kazi ofisini kwake Dar
 
ivi walibaki kufanya kazi au

Unajua wananchi sasa wanajitafutia maendeleo na hawako ki mikutano mikutano, kwa hiyo walibaki kuchapa kazi kama walivyokuwa wametangaziwa na wanasubiri kwa hamu sana kanda mpya za maneno yasiyo na vitendo baada ya pasaka wakati CDM watakapozindua albamu yao katika mikoa hiyo
 
Back
Top Bottom