Pamoja na kutangaza kwa siku 2 kila mtaa wa jiji la mby watu hawakujitokeza kumpokea vp dr. Bilal, hii inaashiria nini?
Hivi, nikumbushe, Dr.Bilal ni nani vile?
Hakwenda na kina Juma Nature
Huyo jamaa hana mvuto, hata hiyo nafasi kapewa ili atulie.. :blah:
Huyo jamaa hana mvuto, hata hiyo nafasi kapewa ili atulie.. :blah: