Ziara ya dr. Bilal (Mbeya) yadoda

Hotuba zake zote zinaboa saana na huwa anasoma karatasi bila hata kuangalia pembeni ili asikosee na anajidai kusoma eti kwa unyenyekevu kama mtakatifu fulani.

Hana mvuto kabisa huyu muzee na hana jipya yupo kwa ajili ya kuwatembeza wake zake Tanzania na alianza na kule serengeti.

kachoka sana, Halafu haangaliagi watu usoni anaona aibu, anakula hela za wabongo bure....
 
Ujua kuwa kichaa kunaanza taratibu, kama mtu alifatilia taarifa na alikuwapo Mbeya kabla Makamu hajaenda huko safari yake ilitangazwa rasmi nini majukumu yake. Hakuwa na mikutano ya hadhara wala ziara hiyo haikuwa ya maandamano kama CDM mlivyozoea. Ni wakati sasa kabla mtu hujaamka na hoja finyu utafakari kabla ya kuandika maana hapa Pinda kaenda Kagera mmeanza oooh anaenda kufuta cheche za CDM, CDM ni chama cha upinzani na hao ni viongozi kazi yao ni kutazama maendeleo na sio kupiga maneno. MY TAKE: Nawashukuru wananchi wa Mbeya kubakia wakifanya kazi zao za maendeleo maana maendleo hayaji kwa maandamano ama mikutano ya hadhara bali kufanya kazi kwa saa nyingi na kujituma.

Ya CDM yametoka wapi?
 
Edson ulitaka atembee na nani? Tatizo la uwezo wetu kubaini mambo umejikita katika kufichaficha taarifa zetu sasa kiongozi mkuu kama huyo anapoonyesha taarifa za familia yake wazi shida iko wapi? Au umeshakutana nao wakiwa na misafara? Leteni hoja za maana tujadili hapa, hali ya maisha, dawa loliondo, umeme, bei za mafuta na viishu vya familia ya VP.
 
Thanks JK for the news. Yalishaanza kusemwa mengine humu. Kumbe Mbeya bado hawajachafuliwa. Big up to them.
 
Hii ni kijiji gani huko mbeya?hapa sio mjini asilani,msitudanye tafadhali.kakusanya waalimu na wanafunzi ndo wamejaa.labda angetembea na Origional Commedy-Masanja mropokaji.
 
slaa_akihutubia_mbalizi.jpg

Slaa Mbalizi

mbeyaleo4sugu.jpg

Slaa Mbeya
 
yah kweli ametua kwa kishindo...hao watu si haba, wanaweza kufikia about 10% ya wale wa slaa kila anapopita

good job
 
hizi ni picha za babu bilal akiwa amechoka sana na propaganda za ufisadi wakati ule wa uchaguzi october ..... leo unaleta hizi picha akiwa amevaa magwanda ya ccm kama makamu wa raisi eti yupo mbeya ..... tumeshazoea uongo wa sisiem hivyo watu wanapotezea upupu huu
 
Bado sijamjua vizuri huyu BIlali Hebu mnikumbushe nafasi ya yake katika uongozi wa taifa yeye ni nani na utambulisho wake ni upi?mnisamehe kwa kuomba kumjua bilali
 
Hata kwa kuangalia picha zako, Idadi hiyo ni chini ya robo ya Idadi ya waliokuwepo katika mikutano ya Chadema kanda ya Ziwa. Subiri Chadema waje Mbeya. Halafu ulinganishe. Lakini pia utuambie kati ya hao waliokuwepo wangapi walikodiwa magari ya kuwapeleka hapo? Pkipiki ngapi zimejazwa mafuta na CCM? Chadema hawafanyi hivyo hata kidogo. Matangazo tu ndo watayatoa.
 
Wewe JeyKey acha uongo, hizo picha za kampeni 2010 unaongopea watu ni Mbeya. Just name the place hapo unapodai picha ilipochukuliwa............ Hizi propaganda zenu hazitawasaidia!
 
SIR NAME: BILAL

OTHER NAMES: MOHAMMED GHARIB

PLACE OF BIRTH: ZANZIBAR

MARITAL STATUS: MARRIED

SEX: MALE

NATIONALITY: TANZANIAN

PERMANENT HOME ADDRESS: P.O.BOX 234 ZANZIBAR

COUNTRY OF RESIDENCE: ZANZIBAR

EDUCATIONAL BACKGROUND

1967: AWARDED B.Sc (PHYSICS) HOWARD UNIVERSITY USA

1969: AWARDED M.Sc (PHYSICS) UNIVERSITY OF CALIFORNIA

(BERKLEY) USA

1976: AWARDED PhD (PHYSICS) UNIVERSITY OF CALIFONIA
(BERKLEY) USA

: NUCLEAR PHYSICIST

WORKING EXPERIENCE


CURRENT STATUS: VICE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
CHAIRMAN OF THE BOARD UNIVERSITY OF DODOMA

PAST EXPERIENCE IN CIVIL SERVICE

1990-1995: PRINCIPAL SECRETARY MINISTRY OF SCIENCE
TECHNOLOGY AND HIGHER EDUCATION TO THE
UNION GOVERMENT.

1976-1990: UNIVERSITY OF DAR ES SALAAMDEPARTMENT
OF PHYSICS
1982-1988: HEAD OF THE DEPARTMENT OF PHYSICS

1988-1990: DEAN OF THE FUCULTY OF SCIENCE

OTHER POSITION AND RESPONSIBILITIES
MEMBER OF VARIOUS DEPARTMENT OF THE UNIVERSITY
OF DAR ES SALAAM - ACADEMIC COMMITTEE

SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICUKTURE, MOROGORO
TANZANIA

1988-1990: CHAIRMAN SCIENCE COMMITTEE OF INTER
UNIVERSITY COUNCIL OF EAST AFRICA

198 8-1990: BOARD MEMBER; COMMISSION OF SCIIENCE AND TECHNOLOGY

1893-1990: BOARD MEMBER; NATIONAL RADIATION COMMISSION

1988- 1990 MEMBER NATIONAL EXAMINATION COUNCIL

1989- 1995 MEMBER OF THE ROCKFELLER FOUNDATION FORUM
FOR CHILDREN EDUCATION IN SCIENCE AND
TECHNOLOGY


PROFESIONAL INTEREST
REDIATOIN PHYSICS
MEDICAL PHYSICS
APPLICATION OF NUCLEAR TECHNIQUES TO ENVIRONMENTAL SCIENCES
INNOVATIVE APPROACH TO SCIENCE
EDUCATION
 
Watu wanakabiliwa na matatizo mengi,hawaendi kumlaki kwa sababu wanajua fika Dr Bilal hataongea lolote litakaloleta ahueni kwenye mustakabali wa maisha magumu ya Mtanzania kwa sasa . Hawataki propaganda tena .
 
Back
Top Bottom