WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Kizazi kipya!
Heh heh jamani hayo mawazo yatawapeleka kuzimu unamvua mtu nguo kwa macho lo hii kali,naona mfadhaiko uko around the corner mweanaemgonga anafaidi...! hebu mvue nguo kimawazo hapo uone..!
angeshinda sidhani kama zitto angemuacha..!
Sasa wana ccm kama na huyu nae wangempigia kura ndio kabisa ningekuwa siwaelewi, huyu hakutakiwa kupata hata fomu ya kugombea ubunnge
eti aligombea lakini hakutaka kushinda, haka ka bonehead ndio kanawekwa kwenye radio Watanzania tukasikilize? Isije kuwa ndio wale Sugu anaowaongelea yatima wanaosaidiwa na kurepiwa repiwa pale clouds fm
oooh mbavu zangu mie...its a bit funny kutest zali kwenye mambo nyeti...afu ukishindwa unajipliz kwa kusema haikuwa nia yako kushinda...then kwa nini uligombea kama haikuwa nia yako kushinda??tusiwazibie nafasi watu wenye uwezo na nia ya uongozi,pengine kuna watu wa maana walikosa fomu au walishindwa kugombea coz of number of wagombea,kumbe wengine mlikuwa mnatania tu???hahaaa my ribs:smile:
I just scooped kura 3 hahahahaahh siasa balaaaa
Kwa vile kilaza Jakaya Kikwete ameweza kupata urais.....hata vichaa sasa wanajiona wanaweza kuingia kwenye siasa. 'Profesa' Majimarefu, Shigogo....ndio alikuwa nagombea ubunge? heee kweli Amina kawafungua wengi macho/mackio khaa...hiyo pesa hukuitaka tu ungenishirikisha yamengekupata hayo.
Ni ishara ya mtu kutojua unataka nini. The sole purpose of any war is victory...imagine you start a war while you know you gonna lose. Hiyo ipo kwenye movie tu not in really life.Hii ni dalili mbaya ya anguko la siasa ndani ya Tanzania. Ikitokea hata mwenda wazimu akaamka asubuhi na kutoa tamko la kugombea udiwani maana yake ni kwamba kesha ona siasi iliyopo ni ya kiwenda wazimu.
Si pendi kukosoa maamuzi yake kwani aliona hilo ni jambo lenye kuwezekana.
Na mimi pia nitajaribu next time.