Zamaradi atoa tamko baada ya kushindwa Ubunge

Status
Not open for further replies.
Sishangai kwa maoni yake hayo kwa kuwa uwezo wake ndo umeishia hapo. Ukiona mpaka wazee wamedondoka ujue shughuli ni ndefu dada. Endelea kubana sauti Clouds hiyo ndo itakutoa. Huko unakotarajia siyo
 
hivi watu wamegeuza siasa na kuongoza kama kitu kidogo san au? Maadili yapo wapi? Hata ma model wanataka kuwa wabunge , wht is the meaning of this? Huyu anajua nini anachojivunia cha maana?
 
Yaani kwa kujiona tu kafahamika basi kaingia kwenye siasa siasa si kitu kidogo inataka watu waliopevuka kiakili wenye kutoa mawazo chanya Zamaradi bado mdogo kaa na watu wakufunde kwanza ukue ndio uingie kwenye siasa au ndio kufuata nyayo za Amina Chifupa.tulia dada muda bado ila sikukatishoi tamaa kama nia unayo kaza buti
 
Tusipime mgombea kwa mavazi ,tumpime jinsi ya kujenga na kunadi hoja zake katika jamii.Kujaribu sio kukosea,ni haki yako ya msingi.Jipe moyo kuna siku utafanikiwa.
 
attachment.php


TAMKO RASMI


AM VERY HAPPY sababu NIMETHUBUTU kitu ambacho watu wengi wanakihofia na hiyo ni alama na dalili nzuri sana kwangu, siku zote naamini kwamba UTHUBUTU ni ALAMA YA UJASIRI na mtu jasiri ziku zote ATASHINDA TU. huu ni mwanzo mzuri kwangu ukizingatia kwamba target yangu haikuwa kushinda ila ni kujitengenezea mazingira mazuri na njia ya kujitambulisha kwenye siasa, na kwa kiasi kikubwa sana nimefanikiwa katika hilo (kufikia targert yangu)na huo ni ushindi tosha kwangu.


Sizitaki mbichi hizi.
Mavuvuzela bana......
 
Mdau Mfunyukuzi hivi Mbunge mtarajiwa Mboni Mhita ndiye Mboni Masimba (Mboni Eto'o au Mboni Fally Ipupa????)
 
Nampongeza kwa kuthubutu, big up!

Lakini, mavazi hayo ni kama ya Ohio, Kinondoni makaburini, Buguruni Sheli, Sinza Afrika sana etc nyakati za usiku kwenye biashara za akina dadapoa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom