huko ccm kuna visa, haya bibie lakini kuwa mwangalifu
TAMKO RASMI
AM VERY HAPPY sababu NIMETHUBUTU kitu ambacho watu wengi wanakihofia na hiyo ni alama na dalili nzuri sana kwangu, siku zote naamini kwamba UTHUBUTU ni ALAMA YA UJASIRI na mtu jasiri ziku zote ATASHINDA TU. huu ni mwanzo mzuri kwangu ukizingatia kwamba target yangu haikuwa kushinda ila ni kujitengenezea mazingira mazuri na njia ya kujitambulisha kwenye siasa, na kwa kiasi kikubwa sana nimefanikiwa katika hilo (kufikia targert yangu)na huo ni ushindi tosha kwangu.
Sio Mboni wa kina Etoo huyu ni mrembo mwingine tuMdau Mfunyukuzi hivi Mbunge mtarajiwa Mboni Mhita ndiye Mboni Masimba (Mboni Eto'o au Mboni Fally Ipupa????)
Du hiyo Tshirt ya Mbuge mtarajiwa kaaz kweli kweli
ni nani huyu mdada? na amethubutu nini?
Sasa wana ccm kama na huyu nae wangempigia kura ndio kabisa ningekuwa siwaelewi, huyu hakutakiwa kupata hata fomu ya kugombea ubunnge