Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,971
- 10,465
Kwa wana JF mlio Dar Es Salaam, anayetaka audio CD za nyimbo za Yondo Sister (Soukouss Stars), Lokassa ya Mbongo, Madilu, Aurlus Mabele, Jean Baron, Lucien Bokilo (One Way), Awilo (albamu zote), Bozi Boziana, Diblo Yankomba Dibala, Alain Kounkou, Pepe Kale na wakongo wengine anitumie ujumbe kwa PM namna ya kuzipata.
NB. Siuzi.
Asante sana Invisible kwa kumbukumbu hizo, nimefurahi sana!
NB. Siuzi.
Asante sana Invisible kwa kumbukumbu hizo, nimefurahi sana!