Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,018
Yani vijana sasa hivi ni kavu kavu huku wakiwa na fikra ya kuchukulia aids kwa uwepesi sana.
"aaah huyu haonekani kama ana ukimwi".
"aaah siku hizi sio kama zamani ukimwi haupo kirahisi rahisi".
Kama tunavyo amini siku hizi tunaweza kupatiana UTI kirahisi basi hivyo hivyo HIV/AIDS inakukamata kirahisi tu.
USE CONDOMS.
"aaah huyu haonekani kama ana ukimwi".
"aaah siku hizi sio kama zamani ukimwi haupo kirahisi rahisi".
Kama tunavyo amini siku hizi tunaweza kupatiana UTI kirahisi basi hivyo hivyo HIV/AIDS inakukamata kirahisi tu.
USE CONDOMS.