Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,758
- 437
Nimetumia Tashititi na tasibai juu Pasuka "'upasuweli""Halafu ndio imeandikwa na Dokta wa kanoni "nk".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetumia Tashititi na tasibai juu Pasuka "'upasuweli""Halafu ndio imeandikwa na Dokta wa kanoni "nk".
Rais wako aliomba kuongezewa mudaZile siku 9 ziliishia wapi? Sasa naona wamekuja na 21. Inashangaza, hizi "digits" sijui wanazitowa wapi?
Lipeni Dowans muone.Hivi, huwa hamna hoja za maana? Hata kwenye taarifa? Mimi nilidhani mtakuja na mapya, kumbe ndio yale yale ya kwenye JF!
Hivi hawa viongozi wa Chadema hawana sera ila Dowans? "Dowans isilipwe", "Dowans itaifishwe".
Yale yote aliyoyaongea Kikwete ya mipango ya umeme wa kudumu, nyie mnayarudia na kujifanya ndio hoja yenu. Mnashangaza kweli kweli. !!!
Lipeni Dowans muone.
uwezo wako wa kuchangia hoja zingeNE una Ukilaza,. Je tamko hili linalosubiliwa na viongozi wa ccm kama dira yao sasa mnahaa,kesho tutawasikia wakijibu,Hamuwezi kaa kimya na amutaweza kaa kimiya kwa sababu bira cdm hakuna dira.Hivi, huwa hamna hoja za maana? Hata kwenye taarifa? Mimi nilidhani mtakuja na mapya, kumbe ndio yale yale ya kwenye JF!
Hivi hawa viongozi wa Chadema hawana sera ila Dowans? "Dowans isilipwe", "Dowans itaifishwe".
Yale yote aliyoyaongea Kikwete ya mipango ya umeme wa kudumu, nyie mnayarudia na kujifanya ndio hoja yenu. Mnashangaza kweli kweli.
!!!
Huoni amri za CDM zimeanza kutekelezwai? Au hufahamu sukari imeshushwa hadi 1500 Tsh kwa kilo?Zile siku 9 ziliishia wapi? Sasa naona wamekuja na 21. Inashangaza, hizi "digits" sijui wanazitowa wapi?
bongo sasa kumekucha.......siasa ndio imeanza vuta nikuvute kati ya wenyenchi na wanaharakati
Sioni cha maana ila pumba na porojo, hata taarifa haijakaa kitaarifa, uliona taarifa gani inashindwa kujieleza na inatumia "nk".
What? "nk" kwenye taarifa? ina maanisha nini? Hamna cha kuandika.
Mimi mala nyingi huwa si mwelewi huyu mama sofia simba,sielewi kama ni yeye huwa anatowa kauli ama kuna msemaji wake,kwani mara kwa mara amekuwa akiropoka maneno na kauri zisizo na msingi na kuna siku aliwahi kupaluwana na mama malecela,nadhani atakuwa anamatatizo kidogo
sielewi ni kwa nini watu wa namna hiyo wana pendwa sana na watawala,mama simba amekuwa ni waziri wa kuongea ovyo nakumbuka aliwahi sema haoni kama kuna umuhimu wa kuwa na katiba mpya mara ooo serikali haina pesa ktk mchakato wa katiba mpya
sasa mawaziri kama hawa ndio wanatufanya tuzidi kubaki hapa tulipo
Mimi mala nyingi huwa si mwelewi huyu mama sofia simba,sielewi kama ni yeye huwa anatowa kauli ama kuna msemaji wake,kwani mara kwa mara amekuwa akiropoka maneno na kauri zisizo na msingi na kuna siku aliwahi kupaluwana na mama malecela,nadhani atakuwa anamatatizo kidogo
sielewi ni kwa nini watu wa namna hiyo wana pendwa sana na watawala,mama simba amekuwa ni waziri wa kuongea ovyo nakumbuka aliwahi sema haoni kama kuna umuhimu wa kuwa na katiba mpya mara ooo serikali haina pesa ktk mchakato wa katiba mpya
sasa mawaziri kama hawa ndio wanatufanya tuzidi kubaki hapa tulipo
hii yumba inaonesha wakazi wake wana akili zinazofanana na Sofia.Wanaishi maisha bora kwa kazi zaidiMimi mala nyingi huwa si mwelewi huyu mama sofia simba,sielewi kama ni yeye huwa anatowa kauli ama kuna msemaji wake,kwani mara kwa mara amekuwa akiropoka maneno na kauri zisizo na msingi na kuna siku aliwahi kupaluwana na mama malecela,nadhani atakuwa anamatatizo kidogo
sielewi ni kwa nini watu wa namna hiyo wana pendwa sana na watawala,mama simba amekuwa ni waziri wa kuongea ovyo nakumbuka aliwahi sema haoni kama kuna umuhimu wa kuwa na katiba mpya mara ooo serikali haina pesa ktk mchakato wa katiba mpya
sasa mawaziri kama hawa ndio wanatufanya tuzidi kubaki hapa tulipo