Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
Naomba nikwambie Viongozi wa Chadema wanaakili timamu zenye mawazo makini.Waziri mkuu tulishamwambia amelidanganya bunge na ujumbne umemfikia vizuri.
Ndani ya siku Tisa walizotoa viongozi,Kikwete ametoa matamko kadhaa katika wizara alizotembelea mf:
Sasa ulitaka nini zaidi?huono AMETEKELEZA maagizo.
- alipokuwa katika wizara ya fedha alimuagiza waziri wa fedha kupunguza kodi katika bidhaa mbalimbali ili kumpa unafuu wa maisha.
- Bei ya Sukari iliyokuwa inakimbilia 2300 serikali imeamuru ibaki 1700
- Deni la Dowans kutolipwa na kutafuta njia mbadala.
Lakini bado Viongozi wa chadema walisema ndani ya siku mia moja wazee waafrika mashariki malipo yao yatashughulikiwa,KIKWETE ALIAGIZA ALIP[OKUWA HAZINA KWAMBA SASA IMETOSHA WAZEE HAO WALIPWE.tena ametoa maagizo huku akijua kesi iko mahakamani.
ULIPASWA KUSEMA KAMA AHADI NA MAELEKEZO YA KIKWETE YASIPOFANYIWA KAZI VIONGOZI WA CHADEMA WATACHUKUA HATUA GANI UNGEELEWEKA.
Kuhusu Arusha usiwe na haraka subiri siku 21.Viongozi wa chadema ni watu wenye mipango thabiti na mikakati mizuri.
MISIMAMO HUWA INATOLEWA BAADA YA KUTOA MDA KWA UPANDE WA PILI.KWNI HIYO NI HAKI YA MSINGI KISHERIA.
Mmmh! Hii imetulia.
Hapa JF napakubali. Kilaza yeyote akiomba data anapewa, shida inabaki kwake - kupotezea au kukubali yaishe.