Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa ni nzuri ingawaje imejadili mambo mengi mno na kukosa IMPACT inayotakiwa. Ni vizuri kwenye vikao kujadili mambo mengi, lakini summary ikae kwenye issue muhimu kama nne, ili mkazo ueleweke, otherwise inakuwa vigumu KUWEKA WEIGHT kwenye mambo lukuki.
Issue ya UMEYA WA ARUSHA, naomba sana pamoja na rafu zote zilizofanyika, lakini sasa kama Chama, CHADEMA wamove on. Sijapenda pale ambapo taarifa inasema baada ya siku 21, nguvu ya umma inaweza kutumia ( This is SERIOUS) na kwa kweli inaweza kuleta Fujo na vurugu ambazo zitaprove CCM RIGHT kuwa chadema wanataka kuvunja amani.
In truth, hata kama uchaguzi ukifanyika leo wa Umeya wa Arusha as long as # ya madiwani imekamilika kwa CCM kuwa na zaidi na TLP(MREMA kuwa mkononi mwa JK) CCM ITASHINDA.
Umeya wa Arusha sio muhimu kiasi hicho, madiwani wa Chadema wafanye kazi ya kutetea wananchi, na Chadema wawaeleze wananchi wa Arusha uchaguzi ujao wachague madiwani wengi wa Chadema ili kupata Umeya.
Umeumia,Pole.KANYWE RUBISIMie nilifikiri watakuja na vitu vipya na vya maana, kumbe ni pumba zilezile za JF. Duhhh.
Umeumia,Pole.KANYWE RUBISI
pasuka.sioni cha maana ila pumba na porojo, hata taarifa haijakaa kitaarifa, uliona taarifa gani inashindwa kujieleza na inatumia "nk".
What? "nk" kwenye taarifa? Ina maanisha nini? Hamna cha kuandika.
kihere here kitakuja kukuponza, hivi huoni ume convert dollar to dollar? au hizo za kwanza ni za Zimbabwe?
Sioni cha maana ila pumba na porojo, hata taarifa haijakaa kitaarifa, uliona taarifa gani inashindwa kujieleza na inatumia "nk".
What? "nk" kwenye taarifa? ina maanisha nini? Hamna cha kuandika.
Tatizo ni misaada ya bure uliozoeya.Tisheti na kanga,ndo vinakusumbua,Masema pasuka upasuweliSioni cha maana ila pumba na porojo, hata taarifa haijakaa kitaarifa, uliona taarifa gani inashindwa kujieleza na inatumia "nk".
What? "nk" kwenye taarifa? ina maanisha nini? Hamna cha kuandika.
kwn kama jamaa (ccm) waking'ang'ania hakuna njia nyingine ya kufuata kwa taratibu za kisheria?
unakera.. Na upo tofauti sana na binaadamu wa kawaida, ''if everybody is against you, be very carefull'', ''sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU.'' sasa ndugu yangu, kama jf nzima ipo against na wewe, take a step back n look at urself, ujue kama unachoongea ni point au matapishi??
pasuka.
Tatizo ni misaada ya bure uliozoeya.Tisheti na kanga,ndo vinakusumbua,Masema pasuka upasuweli
Halafu ndio imeandikwa na Dokta wa kanoni "nk".