Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sehemu kubwa ya tamko "Mnaitaka Serikali..........." hayo maamuzi yanafikaje serikalini ili yatekelezwe wakati CDM siyo inaunda Serikali?
Mh. Regia naomba unijuze.
Tuhuma nyingi zimeshatolewa dhidi ya CHADEMA,
kwanini hili linaonekana kuwagusa sana CHADEMA?
nilikuwa najaribu kufikiria kwa makini kwa nini umeandika bilioni 11 na milioni 11,000 kwa wakati mmoja nikakosa jibu, hii watalaamu wa lugha wanaita semantics redundancy.
Kwa sababu tafsiri ya kauli zao ni kuonyesha mahusiano ya kijasusi kati ya CDM na balozi kutoka nje. Suala lolote linalohusisha ujasusi ni very serious na ndo maana serikali imeamua kupoza makali kwa kutumia kauli ya Membe ambaye hakutaja chama moja kwa moja kwa kusema magazeti na CDM hawakuielewa sawa sawa kauli ya waziri Membe. Hata hivyo wakasema endapo itathibitika wako tayari kuziomba radhi balozi hizo.
nakubaliana na comrade moelex23, inshu ya umeya ars na kutoa siku 21 sioni mashiko sana. nguvu ya umma maana yake nn? kwn kama jamaa (ccm) waking'ang'ania hakuna njia nyingine ya kufuata kwa taratibu za kisheria? mi siwaelewi wanaposema nguvu ya umma,what do they mean? otherwise cdm nawakubali sna tu lkn kwa hili napatwa na ukakasi sioni kama limetulia
nakubaliana na comrade moelex23, inshu ya umeya ars na kutoa siku 21 sioni mashiko sana. nguvu ya umma maana yake nn? kwn kama jamaa (ccm) waking'ang'ania hakuna njia nyingine ya kufuata kwa taratibu za kisheria? mi siwaelewi wanaposema nguvu ya umma,what do they mean? otherwise cdm nawakubali sna tu lkn kwa hili napatwa na ukakasi sioni kama limetulia
CDM inaonyesha hajui hawajui hata mfumo wa uchumi wa soko. Dunia nzima iko kwenye system hiyo. Serikali kushusha bei ya mahindi wakati usafirishaji unategemea mafuta ni ndoto. Biashara sasa ya sasa ni soko hurui. Infact cdm hata wakikataa wao ni wachochezi. Unampa rais siku 9 then what next.
Acheni wananchi wafanye kazi. Kampeni 2015 not now I love Tz.
Geniusbrain,,,subiri siku 21 ziishe yaani tarehe 22april utaelewa,
Kauli hizi zina maana moja tu,kuwa chadema ni chama cha amani na wanapenda amani,ndio maana tunasisitiza hatua zichukuliwe,kuhakikisha amani ya arusha inakuwepo,baada ya hapo tutapambana...
Hivi huyu Mbowe na viongozi wengine wa CHADEMA wana akili sawa sawa kweli ? Waziri Mkuu , Mh. Pinda aliisha litolea Bungeni ufafanuzi vizuri na ambao uko wazi juu ya msimamo wa serikali kuwa uchaguzi wa umeya wa Arusha ulikuwa huru na halali, sasa kutoa siku 21 kwa serikali kumaliza tatizo la umeya wa arusha kuna maana gani ?. Hapa walicho takiwa kufanya ni kutoa msimamo wa chama na si kutoa kauli za muda, kwani serikali iliisha toa msimamo wake. Na hapa ndipo umakini wa viongozi wa CHADEMA unapotiliwa mashaka wa kutoa kauli badala ya mustakabali. Tuliona Mwanza walitoa siku 9, ziliisha hivi sasa tangu kauli ile zimepita siku zaidi ya 20, sasa kama kauli zisizo kuwa na vitendo ni bora zisitolewe kabisa.
Geniusbrain,,,subiri siku 21 ziishe yaani tarehe 22april utaelewa,
Kauli hizi zina maana moja tu,kuwa chadema ni chama cha amani na wanapenda amani,ndio maana tunasisitiza hatua zichukuliwe,kuhakikisha amani ya arusha inakuwepo,baada ya hapo tutapambana...
Alama moja wapo ya mtu mnafiki ni kusema asiyo yatenda, na hiki ndicho CDM wametuonyesha. Hivi unategemea kauli gani ya serikali zaidi ya aliyotoa waziri mkuu ? na aliisha sema the wayforward kwa CHADEMA ni kwenda mahakamani !
Hivi huyu Mbowe na viongozi wengine wa CHADEMA wana akili sawa sawa kweli ? Waziri Mkuu , Mh. Pinda aliisha litolea Bungeni ufafanuzi vizuri na ambao uko wazi juu ya msimamo wa serikali kuwa uchaguzi wa umeya wa Arusha ulikuwa huru na halali, sasa kutoa siku 21 kwa serikali kumaliza tatizo la umeya wa arusha kuna maana gani ?. Hapa walicho takiwa kufanya ni kutoa msimamo wa chama na si kutoa kauli za muda, kwani serikali iliisha toa msimamo wake. Na hapa ndipo umakini wa viongozi wa CHADEMA unapotiliwa mashaka wa kutoa kauli badala ya mustakabali. Tuliona Mwanza walitoa siku 9, ziliisha hivi sasa tangu kauli ile zimepita siku zaidi ya 20, sasa kama kauli zisizo kuwa na vitendo ni bora zisitolewe kabisa.