Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Mkuu I can feel your pain. Mwenyewe unamuamini wife kumbe wenzio wanakumegea tu......Mimi kuna mmoja alikuwa ananiambia yaani nikikuona tu mwili wote unawasha halafu una mb** nzuri. Yaani ni full usanii. LOLnyie kuleni wake za watu lakini jua na wako na yeye ataliwa au analiwa sasa hivi unaposoma haya fikiria kwanza
jana alikuaga anaenda wapi?