Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,836
- 16,707
View attachment 19380na mwingine atakwambia unajua mm sijawahi kutoka kabisa nje ya ndoa, ww umenidanganya sijui una dawa, bwana wangu kanikuta bikira,
ni kwako tu siwezi tena kutoka nje ya ndoa nakuapia, sidhubutu
Majibu ya mwanaume mwizi: unajua nakuamini sana ww, najua upo serious, hutoki nje ya ndoa ila kwangu tu, unajua hata mm sifuati mwanamke hovyo, ila ww hata sijui imekuwaje, athante thaaaaana, i luv u.
Uongo ndani ya ndoa mbaya, wacheni hii kitu wanandoa
ni kwako tu siwezi tena kutoka nje ya ndoa nakuapia, sidhubutu
Majibu ya mwanaume mwizi: unajua nakuamini sana ww, najua upo serious, hutoki nje ya ndoa ila kwangu tu, unajua hata mm sifuati mwanamke hovyo, ila ww hata sijui imekuwaje, athante thaaaaana, i luv u.
Uongo ndani ya ndoa mbaya, wacheni hii kitu wanandoa