Kama ambavyo unavizia kuiba mke au mume wa mtu, ndivyo nawe unavyonyemelewa kunyakwa na huenda ukaumizwa vibaya

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,209
11,634
kiujumla wizi wa aina yoyote ile ni mbaya sana.
na siku zote wizi hauna mipaka, mwizi huiba kila kitu anachokiona kinamfaa mbele yake kwa muda mfupi na haraka sana, haina kuremba.

kuiba mke au mume wa wenyewe, ni wizi mgumu, mbaya na hatari sana kwa afya na uhai wako.

Pasaka hii tulizana, baki na familia, uridhike na wako na watoto wako, ni fedheha na aibu kubwa sana ikibainika una mendea mke au mume wa mtu halafu unanyakwa na kipigo Juu.
 
kiujumla wizi wa aina yoyote ile ni mbaya sana.
na siku zote wizi hauna mipaka, mwizi huiba kila kitu anachokiona kinamfaa mbele yake kwa muda mfupi na haraka sana, haina kuremba.

kuiba mke au mume wa wenyewe, ni wizi mgumu, mbaya na hatari sana kwa afya na uhai wako.

Pasaka hii tulizana, baki na familia, uridhike na wako na watoto wako, ni fedheha na aibu kubwa sana ikibainika una mendea mke au mume wa mtu halafu unanyakwa na kipigo Juu.
Huu ushauri unampa Ole sendeka!!?
 
kiujumla wizi wa aina yoyote ile ni mbaya sana.
na siku zote wizi hauna mipaka, mwizi huiba kila kitu anachokiona kinamfaa mbele yake kwa muda mfupi na haraka sana, haina kuremba.

kuiba mke au mume wa wenyewe, ni wizi mgumu, mbaya na hatari sana kwa afya na uhai wako.

Pasaka hii tulizana, baki na familia, uridhike na wako na watoto wako, ni fedheha na aibu kubwa sana ikibainika una mendea mke au mume wa mtu halafu unanyakwa na kipigo Juu.
Pole mkuu, ila hawa vijana wa siku hizi ni wa ovyo kabisa, wanapenda sana mali za watu.

Ukimkamata huyo kijana mpake wese la kalio.
 
kiujumla wizi wa aina yoyote ile ni mbaya sana.
na siku zote wizi hauna mipaka, mwizi huiba kila kitu anachokiona kinamfaa mbele yake kwa muda mfupi na haraka sana, haina kuremba.

kuiba mke au mume wa wenyewe, ni wizi mgumu, mbaya na hatari sana kwa afya na uhai wako.

Pasaka hii tulizana, baki na familia, uridhike na wako na watoto wako, ni fedheha na aibu kubwa sana ikibainika una mendea mke au mume wa mtu halafu unanyakwa na kipigo Juu.
Kutokuvizia mke/mume wa mtu haimaanishi wako haviziwi..! Havina uhusiano..!! Wako ataviziwa au hataviziwa bila kujali kama wewe unavizia au huvizii..!!
 
kiujumla wizi wa aina yoyote ile ni mbaya sana.
na siku zote wizi hauna mipaka, mwizi huiba kila kitu anachokiona kinamfaa mbele yake kwa muda mfupi na haraka sana, haina kuremba.

kuiba mke au mume wa wenyewe, ni wizi mgumu, mbaya na hatari sana kwa afya na uhai wako.

Pasaka hii tulizana, baki na familia, uridhike na wako na watoto wako, ni fedheha na aibu kubwa sana ikibainika una mendea mke au mume wa mtu halafu unanyakwa na kipigo Juu.
Hakika
 
Pole mkuu, ila hawa vijana wa siku hizi ni wa ovyo kabisa, wanapenda sana mali za watu.

Ukimkamata huyo kijana mpake wese la kalio.
nakutakia pasaka tulivu na ya baraka sana wewe pamoja na familia yako....
 
  • Kicheko
Reactions: xox
Back
Top Bottom