WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Wala siwezi kuwa na wivu kwa kuifunga Polisi, mngekuwa mmeifunga timu nyingine kama Mtibwa au Kagera Sugar magoli ya haraka haraka hivyo ndo kidooogo ingenifikirisha.
Mi najua unataja hizo timu kwa sababu zimetufunga sisi yanga,lakini tuliza boli mwanawane siku inakuja....inakuja....wengi watalia watasema siamki....na watakuzikaaaaa....bila kupenda,na watakuzikaaaaa...bila kupenda,utafungwa tu si umenusurika mara nne,subiri.