PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Umeonaee....ila jamaa ana mwili huo sijui alikua anakula nini bwana.E bwana enh....hiyo kali!!
Umeonaee....ila jamaa ana mwili huo sijui alikua anakula nini bwana.E bwana enh....hiyo kali!!
we ya kweli hayo!!!!!Ruvu shooting wanaongoza kwa goli moja, Azam hawajapata kitu.
Dakika ya kwanza tu wanajeshi wakatikisa nyavu, sema tatizo la hawa wanajeshi hawajui kungangamala.we ya kweli hayo!!!!!
dah! Jamaa wana bahati ya kupata magoli ya mapema, ila basi kama unavyosema hawajui kugangamala.Dakika ya kwanza tu wanajeshi wakatikisa nyavu, sema tatizo la hawa wanajeshi hawajui kungangamala.
Hawa jamaa hawajui kugangamala, Tayari Wanalambalamba wamesawazisha.dah! Jamaa wana bahati ya kupata magoli ya mapema, ila basi kama unavyosema hawajui kugangamala.
Ruvu shooting ni nguvu ya soda tu, watalizwa nyingi leo kama ndo hivyo.Hawa jamaa hawajui kugangamala, Tayari Wanalambalamba wamesawazisha.
Hiyo Polisi ni timu kweli au ipo kukamilisha idadi ya timu 14.goli la pili Kavumbagu huyoooo 2-0