Mnamkumbuka huyu jamaa wakati wa uchaguzi Igunga alikuwa anatuletea habari akisema yuko ndani ya kikao cha CDM sasa leo tena yuko ndani ya kikao ca NCCR inakuwaje ina maana yeye ni mjumbe wa vyama vyote. Ila ngoja tusubiri anaweza kweli kuwa na access na sehemu zote you never know.
Mnamkumbuka huyu jamaa wakati wa uchaguzi Igunga alikuwa anatuletea habari akisema yuko ndani ya kikao cha CDM sasa leo tena yuko ndani ya kikao ca NCCR inakuwaje ina maana yeye ni mjumbe wa vyama vyote. Ila ngoja tusubiri anaweza kweli kuwa na access na sehemu zote you never know.
CCM wanaitwa Green Guard, CUF wanaitwa Blue guard, NCCR mageuzi wanaitwaje?
Siyo Sisyemu?Wapinzani Tanzania chadema tu
Siyo Sisyemu?
Nani, Hamad Rashid?
mnamkumbuka huyu jamaa wakati wa uchaguzi igunga alikuwa anatuletea habari akisema yuko ndani ya kikao cha cdm sasa leo tena yuko ndani ya kikao ca nccr inakuwaje ina maana yeye ni mjumbe wa vyama vyote. Ila ngoja tusubiri anaweza kweli kuwa na access na sehemu zote you never know.
sasa nina wasiwasi na Mbatia pia! Sidhani kama ana lengo zuri na NCCR, ana kila dalili za uccm! Mungu ibariki CHADEMA!
Du humu ndani leo ni vururu vururu tu,sasa Hamadi Rashidi ametokea wapi tena humo mwa kina Mbatia?
hivi watu makini kama Dr. Semgodo Mvungi wapo wapi watumie busara zao kuinusuru hii chama, au inaonyesha ameshachoshwa na yeye