Lengo lililopo ni kwamba wajumbe hao feki waunge mkono hoja kuwanyang'anya kadi Kafulila, Hashimu Rungwe,Bw Bwana , Mkosamali
Niko kikaoni, subirini nitawapa updates
Niko kikaoni, subirini nitawapa updates
so disappointing indeed..; hivi mbatia yuko tayari kuwatosa wananchama wenzake ili wapoteze ubunge? hivi maslahi ya chama, kambi ya upinzani na taifa yamezingatiwa au maslahi binafsi ya mwenyekiti ndio yanayo-override everything else?