Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
Wakuu tupieni picha mapema ili magamba presha zikianza kupanda wawahi zile cndano za masaa kabla hspt hazijafungwa!
...waache wafe,wameisha tenga bilioni moja ya kujizikia...
Wakuu tupieni picha mapema ili magamba presha zikianza kupanda wawahi zile cndano za masaa kabla hspt hazijafungwa!
Jazeni watu.......mbona Dodoma hamkusema? Nyie dawa yenu ipo mbioni tutawanyuka kuanzia chaguzi za serikali za mitaa na kwa hakika mutalipata somo kubwa katika hilo. CDM hamna jipya sasa tukutane 2014 tuone kilichomtoa kaka manyoa maana hamtaamini machoni........:yo::banplease::yo:
Ben,hujamtendea haki Kinana kwa kumnyima pongezi kwa kazi nzuri ya uenezi wa CDM. Hata kama yuko upande wa pili lakini kazi aliyoifanya Morogoro imesaidia watu wenye akili kujua CDM ndio chama cha Wazalendo.Ni kweli Mkuu.Kamanda anafanya kazi.Anapanda na kushuka.Tuzidi kumpa kamanda moyo na makamanda wengine.Kazi ya kuqhabarisha hasa hii ya kurusha picha si ya mtu mmoja.Popote alipo mwanachadema kazi ya uenezi inatakiwa iendelee.
Pia nikupongeze mkuu Molemo, Mohamedi Mtoi Mikael P Aweda, Mwita Maranya Lwesye, Magesi, Greenwich Froida Basil Lema Mzito Kabwela POMPO, Matola, Bigirita, LiverpoolFC Baba V, PakaJimmy Mpaka Kieleweke, bacelona na makamanda wengine kwa kuwa active katika muda muafaka.
CC: bungeni, thatha Sumu m 23 my web, Mtela Mwampamba, Juliana Shonza
CC: Madame B -Kwa kunipa Moral Support always
CC:Wapenda mabadiliko wote hata wale wasio na vyama
Ni kweli Mkuu.Kamanda anafanya kazi.Anapanda na kushuka.Tuzidi kumpa kamanda moyo na makamanda wengine.Kazi ya kuqhabarisha hasa hii ya kurusha picha si ya mtu mmoja.Popote alipo mwanachadema kazi ya uenezi inatakiwa iendelee.
Pia nikupongeze mkuu Molemo, Mohamedi Mtoi Mikael P Aweda, Mwita Maranya Lwesye, Magesi, Greenwich Froida Basil Lema Mzito Kabwela POMPO, Matola, Bigirita, LiverpoolFC Baba V, PakaJimmy Mpaka Kieleweke, bacelona na makamanda wengine kwa kuwa active katika muda muafaka.
CC: bungeni, thatha Sumu m 23 my web, Mtela Mwampamba, Juliana Shonza
CC: Madame B -Kwa kunipa Moral Support always
CC:Wapenda mabadiliko wote hata wale wasio na vyama
We miss Late Regia Mtema umakini wako haujazibwa.Tunaye Makene lakini mhhhhhhhhhhh!!
We miss Late Regia Mtema umakini wako haujazibwa.Tunaye Makene lakini mhhhhhhhhhhh!!
nashkuru watoto wa nyumbani, hamjatuangusha tulio mbali, hii picha ningependa itengenezewe kalenda
umenitoa machozi.
kweli ulilonena.
God.....
Magamba ambao huwa wanadai Chadema ni chama cha kaskazini, sasa wataongea nini kuhusu nyomi za kutisha zilizotokea kwenye mikutano ya CDM, huko Mwanza, Iringa na hivi leo Mbeya??!!Wanambeya mnatukonga Nyoyo Watanzania! CCM haina pa Kutokea!
Jazeni watu.......mbona Dodoma hamkusema? Nyie dawa yenu ipo mbioni tutawanyuka kuanzia chaguzi za serikali za mitaa na kwa hakika mutalipata somo kubwa katika hilo. CDM hamna jipya sasa tukutane 2014 tuone kilichomtoa kaka manyoa maana hamtaamini machoni........:yo::banplease::yo:
Picha moja ni zaidi ya maneno 1000 efu moja.. Wekeni picha tukate ngebe za MACCM!
refine your swahili boy.