Mbatia hajarudisha fom! Mshindi ni Profesa Mahalu tu!
Kificho Elimu ni Form six pia anadiploma
Mkuu, kwa mujibu wa sheria, wanaogombea uenyekiti wa muda, hawatagombea tena uenyekiti wa kudumu. Labda mzee wa viwango anavuta kasi hukoNilikuwa namtegemea mzee wa Viwango basi tena ngoja nisubili tu kuona atakae chaguliwa.
Kwani si mbunge?Mpaka Sadifa!!!!!!!!!
Kificho anaonekana anajiamini sana
kwa sababu ni prof. labda.Anafaa kwa vigezo gani?
Dalili ya mvua.....Mipasho imeanza. Hakuna kitu Bunge la Katiba. Ni uhuni mtupu. Isitoshe wanapendekeza mtu ambaye hana kumbukumbu na maswali wanayomuuliza hayana maana kabisa.
Maigizo gani mkuu?mbona naona kama wanafanya maigizo?