Fuatilia live hivi sasa kutoka Dodoma, limeanza rasmi saa tisa kamili.
=== Updates====
Profesa Mahalu anafaa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuatilia live hivi sasa kutoka Dodoma, limeanza rasmi saa tisa kamili.
=== Updates====
Mbatia hakukidhi vigezoKwa nini Mbatia amechinjwa, na wanagombea CCM peke yao uenyekiti wa muda?
Anafaa kwa vigezo gani?Profesa Mahalu anafaa sana.
Miongozo mingine haiepukikiWameanza na miöngozo mapema..macho yangu
Fuatilia live hivi sasa kutoka Dodoma, limeanza rasmi saa tisa kamili.
=== Updates====
Hahahahahahaja Professor Mahaluu kuwa mwenyekitiii hapo patawaka balaaa
Duhhh mdau bora maaana tbc ikizinguaaa tuu ninahama star tv faster.....lkn jamaa sauti Yao mbayaa(tbc)Hapana! Wako live
Anafaa kwa vigezo gani?
Miongozo mingine haiepukiki
Anafaa sana huyo profesa wa Sheria, hivi SADIFA JUMA NAE! Looh!
Wangezidisha kuwabana ili at least tufidie hizo laki 3 wanazojichotea.Zimetumika Sh bilioni nane, lakini naona viti vimebanana sana. Wabunge hawapumui sawa sawa!
Zomea zomea imeanza mapemaaaaa![/QUOTE
Hahahahaja vp Tindu Lissu ameshatinga au bdo anakipanga kuja kuwakoroga maprofessor na maccm