Yaliyojiri: BUNGE Maalum la Katiba - TBC LIVE - Feb 18, 2014

Anafaa sana huyo profesa wa Sheria, hivi SADIFA JUMA NAE! Looh!

hahaha ukisikia unapata kazi bila training ndio naiona leooo hahahaaaa 0 experience ya kukaa ktk bungee huko leo ni mwendo mpetompeto tuuuu
 
Nilikuwa namtegemea mzee wa Viwango basi tena ngoja nisubili tu kuona atakae chaguliwa.
 

Similar Discussions

19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom