Abdul Nondo alivyoshinda nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
GHhlTMvXAAAwbHm.jpeg
Abdul Nondo ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa kufuatia uchaguzi mkuu wa ngome hiyo uliofanyika jana, Alhamisi Februari 29, 2024 kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo makao makuu ya ACT Wazalendo (Maalim Seif House) Magomeni, Dar es Salaam.

Nondo aliyekuwa anatetea kiti hicho ameibuka kidedea baada ya kupata kura 66 sawa na asilimia 55.4 ya kura zote, akifuatiwa na Julius Masabo aliyepata kura 45 sawa na asilimia 37.8 ya kura zote, nafasi ya tatu ikienda kwa Mhandisi Ndolezi Petro aliyepata kura saba (7) sawa na asilimia 5.8 ya kura zote, huku Ruqayya Nassir akipata kura moja (1) sawa na asilimia 0.8 ya kura zote.

Katika uchaguzi huo idadi ya wapiga kura ilikuwa ni 120 ambapo kura halali zilikuwa ni 119 na kura moja (1) imeharibika.
 
Hongera Nondo ingawa chama chako hakina harakati zozote za kuikomboa Tanganyika na influence yake Tanganyika ni negligible!
Hongera
 
Like father like son, baada ya miaka 5 ya kipindi chake atakuwa kazidi miaka 35 umri sahihi wa mtu kuitwa kijana.
 
Hongera Nondo kali. Umeonyesha ujasiri, Ulikuwa wa wapinzani wakali.

Uwateuwe katika sekretariet zako, watakusidia sana.
 
Abdul Nondo ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa kufuatia uchaguzi mkuu wa ngome hiyo uliofanyika jana, Alhamisi Februari 29, 2024 kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo makao makuu ya ACT Wazalendo (Maalim Seif House) Magomeni, Dar es Salaam.

Nondo aliyekuwa anatetea kiti hicho ameibuka kidedea baada ya kupata kura 66 sawa na asilimia 55.4 ya kura zote, akifuatiwa na Julius Masabo aliyepata kura 45 sawa na asilimia 37.8 ya kura zote, nafasi ya tatu ikienda kwa Mhandisi Ndolezi Petro aliyepata kura saba (7) sawa na asilimia 5.8 ya kura zote, huku Ruqayya Nassir akipata kura moja (1) sawa na asilimia 0.8 ya kura zote.

Katika uchaguzi huo idadi ya wapiga kura ilikuwa ni 120 ambapo kura halali zilikuwa ni 119 na kura moja (1) imeharibika.
Sasa hii yatuhusu nini , tupo kwenye maombolezo kua na adabu ,pumbavu
 
Abdul Nondo ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa kufuatia uchaguzi mkuu wa ngome hiyo uliofanyika jana, Alhamisi Februari 29, 2024 kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo makao makuu ya ACT Wazalendo (Maalim Seif House) Magomeni, Dar es Salaam.

Nondo aliyekuwa anatetea kiti hicho ameibuka kidedea baada ya kupata kura 66 sawa na asilimia 55.4 ya kura zote, akifuatiwa na Julius Masabo aliyepata kura 45 sawa na asilimia 37.8 ya kura zote, nafasi ya tatu ikienda kwa Mhandisi Ndolezi Petro aliyepata kura saba (7) sawa na asilimia 5.8 ya kura zote, huku Ruqayya Nassir akipata kura moja (1) sawa na asilimia 0.8 ya kura zote.

Katika uchaguzi huo idadi ya wapiga kura ilikuwa ni 120 ambapo kura halali zilikuwa ni 119 na kura moja (1) imeharibika.
Hivi saccos ya mzee Mbowe wana uongozi wa vijana?
 
Abdul Nondo ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Taifa kufuatia uchaguzi mkuu wa ngome hiyo uliofanyika jana, Alhamisi Februari 29, 2024 kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo makao makuu ya ACT Wazalendo (Maalim Seif House) Magomeni, Dar es Salaam.

Nondo aliyekuwa anatetea kiti hicho ameibuka kidedea baada ya kupata kura 66 sawa na asilimia 55.4 ya kura zote, akifuatiwa na Julius Masabo aliyepata kura 45 sawa na asilimia 37.8 ya kura zote, nafasi ya tatu ikienda kwa Mhandisi Ndolezi Petro aliyepata kura saba (7) sawa na asilimia 5.8 ya kura zote, huku Ruqayya Nassir akipata kura moja (1) sawa na asilimia 0.8 ya kura zote.

Katika uchaguzi huo idadi ya wapiga kura ilikuwa ni 120 ambapo kura halali zilikuwa ni 119 na kura moja (1) imeharibika.
Nondo=Kawaida wote ni ccm
 
Back
Top Bottom