sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Na usijaribu manake bi Nyakomba atakung'ofoa macho!Bagah is a player boy. namuogopa
Na usijaribu manake bi Nyakomba atakung'ofoa macho!Bagah is a player boy. namuogopa
Kule kuna wenyewe...jukwaa lile hutakiwi uwe lege lege! Naona Kongosho alishindwa kujua chakufanya ukiwa kule..Rejao Kongosho anaoja jukwaa la siasa kama kambi ya jeshi...kasema hakanyagi tena...amekomaa kabsaaa adhabu ya juzi imemtosha....kahamia jukwaa la matangazo madogo madogo
Hahahaaaa ngoma kesho ukipiota lazma ban ikuhusu maana kuna watu watakuwa na hasira za hatari....Hahahahaha! Kule sipiti mpaka uchaguzi wa arumeru upite manake siwezi kujizuia! Kongosho labda!
Halafu kama unataka updates za leo Arumeru hebu muone Sweetlady ana breaking NewsKule kuna wenyewe...jukwaa lile hutakiwi uwe lege lege! Naona Kongosho alishindwa kujua chakufanya ukiwa kule..
Acha mambo yako....Na usijaribu manake bi Nyakomba atakung'ofoa macho!
Tukiwa wawili kule ndio kunanoga.....njoo plssss! Kongosho hataki kutia pua kabisa kule!!!!Hahahahaha! Kule sipiti mpaka uchaguzi wa arumeru upite manake siwezi kujizuia! Kongosho labda!
Bado tu upo macho?...karibu kwenye jukwaa letu pendwa la siasa..
Mlete Kongosho naye pia
Jamani Vivian mbona sijaziona wakati nilikuachia msg mahali fulani tangu asubuhi?halafu wewe mbona hujajibu Pm zangu?
Aisee ni full raha asikwambie mtu, nilitamani masaa yasimame tuendelee kuwepo!Hahahaaaa aisee nimeenjoije.....
Ungeniambia tungekuchukua...
Kwa kweli hope uliniona kwa mbali coz nilikuwa full kuanzia chini hadi juu ni mwendo wa Rangi ya chama(CDM)....
Heri Dogo Janja kuliko Kubwa Jinga.....
Hahahaaaaaa rahaaaaa
na tena bagah kakiri anakupenda sana wewe Vivian, kila akikuwaza anamaliza kichane cha ndizi.
Just say Yes.
Kule kuna wenyewe...jukwaa lile hutakiwi uwe lege lege! Naona Kongosho alishindwa kujua chakufanya ukiwa kule..
Nendeni tu maana tuna hamu sana ya Maziwa Fresh coz Arumeru kulikuwa na vumbi sana....twende basi tukagombanie kule.
Kuna raha yake.
we si nilisikia umekula ban,au ilikuwa ya masaa
Hahahaha! Mie kesho nasikilizia home Erick, sitoi mguu mpaka matokeo yatangazwe! All the best, nakutegemea kutuletea report live!Hahahaaaa ngoma kesho ukipiota lazma ban ikuhusu maana kuna watu watakuwa na hasira za hatari....
Kama kawaida saa 9 ndani ya USA kuhesabu kura.....na ntakuwa online Jukwaa la siasa mwanzo mwisho wenye wivu wajiju...hasa.....Rejao na Cantalisia
Haahaaa unajua kilichoniacha hoi ni nini?Aisee ni full raha asikwambie mtu, nilitamani masaa yasimame tuendelee kuwepo!
Nilikuona umependeza sana, ila ulikuwa mbali nami wakati tuko USA, nilikupoteza tulivyohamia patandi lol... We si uliuona ule umati pale?.. NMC mara 10!
Tatizo la Arumeru wachofahamu ni kijani tu! Kila kitu wanachotumia ni kijani! Vijana yale majani wanayoyatafuna yayotoka kenya nayo ni kijani pia!Halafu kama unataka updates za leo Arumeru hebu muone Sweetlady ana breaking News
Ulimla vyenga ukaangukia kwenye...comnimemla vyenga bunsen burner.
Nikakimbilia huku.
Nendeni tu maana tuna hamu sana ya Maziwa Fresh coz Arumeru kulikuwa na vumbi sana....
Mtaenda kule mkiwa Kongosho na Rejao then mtarudi mmeshakuwa Maziwa ya Mgando...
Hahahaaaaaaaa lol
Hahahaaaa hilo sahau.....Tatizo la Arumeru wachofahamu ni kijani tu! Kila kitu wanachotumia ni kijani! Vijana yale majani wanayoyatafuna yayotoka kenya nayo ni kijani pia!
So kesho CCM inashinda kwa kishindo!!!!