Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
wajameni mi napita tu hapa, naweza kutuma salamu?
Kuna watu nimewamiss....
Kaizer..
wajameni mi napita tu hapa, naweza kutuma salamu?
Kuna watu nimewamiss....
Hata hivyo nahisi Invisible alikuonea huruma akatoa msamaha baada ya kuona vilio vya watu....Erick na Badili Tabia.
Nawafungia efu jei kwa siku 25.4
sababu: kuniambia niende jukwaa la utambulisho na matangazo madogo madogo
Teh natafakari Rejao akila bann atakuja na ID gani....!!!he he he, tutarudi kama insulin na upanda west(rejao)
Nimegundua kumbe hunipendi Rejao! Siendi walah tena!Tukiwa wawili kule ndio kunanoga.....njoo plssss! Kongosho hataki kutia pua kabisa kule!!!!
Dah usijali...Hahahaha! Mie kesho nasikilizia home Erick, sitoi mguu mpaka matokeo yatangazwe! All the best, nakutegemea kutuletea report live!
Kwani hujui hata wafungwa huwa wanaewa msamaha wa rais?we si nilisikia umekula ban,au ilikuwa ya masaa
Hahaaaa atapendaje wawili?Nimegundua kumbe hunipendi Rejao! Siendi walah tena!
Nikitaka kwenda nalog off naingia kama guest, sichangii kabisa!
Hahaha! Hukuwepo ile siku ya ufunguzi eeh? Nilionea pale pia nilistaajabu sana lol, chopa inapiga reverse hewani daah!Haahaaa unajua kilichoniacha hoi ni nini?
Ile reverse ya helicopta....
Hahahaa ilikuwa mpya sana kwangu lol
Nilistaajabu sana.....
"Heri dogo Janja kuliko Kubwa Jinga"
Sujui mmekula sahani moja mahali....
Sikuwepo...Hahaha! Hukuwepo ile siku ya ufunguzi eeh? Nilionea pale pia nilistaajabu sana lol, chopa inapiga reverse hewani daah!
Erick na Badili Tabia.
Nawafungia efu jei kwa siku 25.4
sababu: kuniambia niende jukwaa la utambulisho na matangazo madogo madogo
Hahahahaha! Lita 10 zitatosha kweli? Police from ccp washamwagwa wa kutosha, uliona wamepiga mpaka hema?..kesho ole wao wajichanganye zitatiwa kiberiti wakose pa kulala lol..Dah usijali...
Hapa hakosi mtu....
siunajua tena..
Ila natafakari sijui nibebe kindoo cha maji cha litre 10 maana najua ile kitu ya machozi na kuwasha itakuwa ya kumwaga....
nami nina mashaka na hili......
Hahahaaa coz haiwezekani kosa dogo tu kipigo....tena kikubwa sananami nina mashaka na hili......
Hahahaaa mwambie ban haituhusu kabisaukinilima ban jitaenda pale magogoni na bango langu.....nitamwomba mnene anisappoti tuone kana itadumu hata masaa mawili
Erick hapa nazungumzia upendo wa Agape jamani,!Hahaaaa atapendaje wawili?
We ushapendwa na Nitty unataka nini tena kwa mume wa mtu?
HahahaaaaHahahahaha! Lita 10 zitatosha kweli? Police from ccp washamwagwa wa kutosha, uliona wamepiga mpaka hema?..kesho ole wao wajichanganye zitatiwa kiberiti wakose pa kulala lol..
Beba lita 20, zikikuishia unanipigia naleta zingine fasta!
Wacha kabisa, nimekunywa maji ya bendera ya CDM...Sikuwepo...
Kumbe SL we ni wakwetu eeeh?
Lol safi sana....safi kiukweli....
Hee hata kwa Nitty ulianza na huohuo wa AgapeErick hapa nazungumzia upendo wa Agape jamani,!
Big up sana madame...!Wacha kabisa, nimekunywa maji ya bendera ya CDM...
Mie wakwenu kabisa Erick...lol.