Sawa baba mkwe....mimi baba yake vivian wa kufikia kwa hiyo mnakaribishwa
Wewe kwenda zako....@kongosho karibu tena jamvini.
Ukome kwenda majukwaa yasokuhusu! Wasalimie kong's bansen bana na maziwa mgando!
@ Bagah posa imekataliwa,..
Amy....Mbona vivy hapokei cmu?
Bagah usije kuwa ushaharibu!
Halafu wewe nilikumiss, usirudi tena kule jukwaa la stress, muachie rejao ndo linamfaa.....
Pokea hugs and kisses.........
Kongosho usijali hana shida kwa kuwa hata yeye amechoka kukaa lonely kila siku....ha ha ha, asante Judgy, tutakutana kwenye kamati ya sherehe hizi.
Huyo unayemuongelea sijuikaenda wapi!
Hahahaaa Kongosho ni bora uwe unaenda jukwaa la matangazo madogo madogo kuliko la Siasa maana kule yataka moyo sana...otherwise mapolisi watakuona ni kibaka na watakudunga roba la hatari km la juziduh, yaani afande alinifananisha na kibaka wakati mie mlokole.
Akanipiga selo bila hata habari.
Nilikumiss pia sana, asante kwa hugz!
Ngoja tuwasaidie hawa watu kudondokeana kwa amani.
1. KAZI?----Anasimamia Public toiletTuombe mungu usije ukaulizwa kama una
1. KAZI?
2. UNA USAFIRI/KIPANDO?
3. TEMBO CARD MASTER CARD?
4.UNATUMIA DAWA YA PEEENZI?
______________
OTHERwise best of luck baggah
NOTE: Ukifanikiwa tu namimi napoint humuhumu
Hahahaaa Kongosho ni bora uwe unaenda jukwaa la matangazo madogo madogo kuliko la Siasa maana kule yataka moyo sana...otherwise mapolisi watakuona ni kibaka na watakudunga roba la hatari km la juzi
Salamu nenda katume kule jukwaa la siasa... Hapa huruhusiwi!wajameni mi napita tu hapa, naweza kutuma salamu?
Kuna watu nimewamiss....
Erickb52 yaani toka asubuhi nilikuwa Arumeru mashariki kushirikiana na makamanda kuhitimisha kampeni, hapa ndio naingia home, hayo ya msg wala siyajui kabisa hivyo uache kunizushia!Wewe kwenda zako....
Kwanza mumeo kaja hapa analalamika kakufuma na mesage kwenye simu toka kwa bishanga na akawatafuta wote tangu asubuhi hukuonekana sasa una jipya tena?
Potea zako ukalinde ndoa kwanza
@kongosho karibu tena jamvini.
Ukome kwenda majukwaa yasokuhusu! Wasalimie kong's bansen bana na maziwa mgando!
@ Bagah posa imekataliwa,..
Shem wacha nimrushe Bagah roho... Tajitahidi kumleta vivy ili roho yako itulie.Shem acha basi mzahamzaha, hii maneno it's very serious !
Mi najua unafanya mas'hara na Bagah bt,
mimi nimeacha shughuli zangu kwa shughuli hii, kama semegi wangu nakuhitaji fanya makeke yako uniletee Vivy hapa bifoo machweo sijui wanaitaga mawio sina hakika ipi ni ya wapi !
Labda niseme bifoo mpambazuko.
Namshanga!Kaizer ukituma hapa salaam Free Africa wafanye kazi gani ?
duh, yaani afande alinifananisha na kibaka wakati mie mlokole.
Akanipiga selo bila hata habari.
Nilikumiss pia sana, asante kwa hugz!
Ngoja tuwasaidie hawa watu kudondokeana kwa amani.
Hahahaaa unajua SL unasema kiutani ila mi nilenda kiukweli..LolErickb52 yaani toka asubuhi nilikuwa Arumeru mashariki kushirikiana na makamanda kuhitimisha kampeni, hapa ndio naingia home, hayo ya msg wala siyajui kabisa hivyo uache kunizushia!
Mbona hujakuja USA?