Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 372
Pokea like zangu ma dia
thanks my dear.haya mambo inabidi kusaidiana maisha yatakwenda vizuri tu. sema tu wenzetu hawa mfume dume bado umewajaa
Pokea like zangu ma dia
kwani wakati nakuoa nilikwambia nakuoa kwa ajili ya chakula cha usiku tuu,hujui kuwa wengine wanaoa ili wafuliwe,wapikiwe sasa ukianza kumwambia ayafanye hayo utakuwa unamkosea.
Ndio maana nikakueleza nidhamu hujengwa, mwanamke akikupelekapeleka it means wewe ni dhaifu you can't handle your affairs period!
Si tu kwamba ana matatizo bali si mwanaume kabisa, avalishwe baibui na kanga.
hapo kwenye red: siku zote mkuu ndio kila kitu na msaidizi anakuwa msaidizi tu, kwa hio kila mtu afanye jukumu lake, lini uliona Kikwete anamwachia Bilali kuapisha viongozi? Au naibu waziri anawajibika kwa kazi ya waziri?
mkuu, ina maana unataka ufuliwe, usafishiwe viatu, upikiwe, ubembelezewe mtoto na upigiwe pasi. plus chakula cha usiku. halafu ww unamfanyia nn mkeo? plz usimfanye mkeo aone maisha ya ndoa ni tabu na utumwa bwana.
Siku hizi wanawake wavivu sana ndo maana wanaota vitambi tu yahani kazi zote ni mahouse girl sasa wao kazi yao kubwa ni kuhudhuria sherehe tu na vicheni part. Wanawake wamesahau wajibu wao ndo maana ndoa nyingi siku hizi hazina mashiko hasa hizi za wasomi.Siku mtakapoacha kudai 50/50 sharing of bills na ndio sio siku tutafikiria kuwapikia 3 x a day na kuwafulia.
Siku hizi wanawake wavivu sana ndo maana wanaota vitambi tu yahani kazi zote ni mahouse girl sasa wao kazi yao kubwa ni kuhudhuria sherehe tu na vicheni part. Wanawake wamesahau wajibu wao ndo maana ndoa nyingi siku hizi hazina mashiko hasa hizi za wasomi.
kwahiyo wewe huoni tofauti?
hayo yote uliyoyasema ndio ninayotaka anifanyie kwasababu hayo ndo majukumu yake,kwani wakati anakubali kuolewa hakujua kuwa atatakiwa kufanya mambo hayo?
nampa pole nyingi sana mkeo.
we ni jinsia ipi?
Siku hizi wanawake hawapiki kupika ni kazi ya house girls na ndo hao hao mahouse gals wanashea wanaume na wake zao
ke. why?
just curious