Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,900
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Lazima uliwe nauli wewe si lijinga. Na mimi nawasisitiza kina dada endeleeni kuwachangamsha ubongo wanaume wasiojitambua na wasiojiamini.
Wewe umemtongoza Binti au mwanamke labda kwenye Daladala, au mtandaoni,au umekutana naye mtaani au Kanisani au popote. Ni sawa kabisa. Wewe ni mwanaume lazima utongoze.
Katika mawasiliano ya hapa na pale, ukiwa unamseti Mwanamke kwenye angle unayoitaka ajae. Naye pia anakuseti kwenye Log10 yake ujae akupasue. Hivyo ni mchezo fulani wa kuzidiana akili na mbinu.
Kila mmoja akimvizia mwenzake.
Mwanamke yeyote anayetumia kigezo cha kukupima kama unampenda kwa Kukutaka fedha au umhudumie ujue huyo ni tapeli, hakupendi, na anachotaka ni kukupasua.
Elewa kuwa Mwanamke anayekupenda hakosi NAULI ya kuja kukuona mpenzi wake. Mwanamke hawezi kukosa nauli kwa Mwanaume anayempenda au mtoto wake aliyemzaa. Na Mzazi wake.
Sisi Watibeli tunatongoza Mwanamke na anakuja kwa nauli yake. Kama hataki tunapita kushoto. Hatulazimishi na hatutaki kulazimishwa.
Uzoefu wangu katika Mahusiano unaonyesha wazi kuwa Mwanamke akikupenda lazima ajitoe kwako kama wewe utakavyojitoa.
Achana na wale wanaume Washamba ambao wanatuma nauli alafu nauli hizohizo wanawake wanazitumia kwenda kwa wanaume wanaowapenda.
Mwanaume yoyote mjinga huona kujiumiza ndio uanaume wakati ni ubwege. Huwezi ukajiumiza kwa mtu ambaye hakupendi au kujiumiza kijinga ukasema huo ndio uanaume. Uanaume sio kuwa Bwege au Lofa.
Uanaume sio kujidharau na kukubali mtu mwingine akudharau.
Ni sawa na wale Mabwege yanayohudumia wake au Wanawake zao alafu bado hayapewi heshima, na tendo wanapimiwa au wanaomba. Wanaume hawapo hivyo.
Mwanaume lazima ujue kuwa jasho lako pia lazima liheshimiwe. Mtu anayedharau jasho lako amekudharau.
Kijana ukianza mahusiano usitume nauli, huko ni kutojitambua na kutojiamini.
Ni bora hiyo nauli utafute Kahaba au mwanamke mcheza vikoba hapo mtaa wa tatu umpe uende ukamalizane naye kama shida ni uzinzi, ngono.
Kama shida ni Mahusiano ya kweli, usitume Nauli. Mwache Aje kwa pesa yake mwenyewe. Naye lazima ajitoe kwaajili yako.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mtibeli.
Lazima uliwe nauli wewe si lijinga. Na mimi nawasisitiza kina dada endeleeni kuwachangamsha ubongo wanaume wasiojitambua na wasiojiamini.
Wewe umemtongoza Binti au mwanamke labda kwenye Daladala, au mtandaoni,au umekutana naye mtaani au Kanisani au popote. Ni sawa kabisa. Wewe ni mwanaume lazima utongoze.
Katika mawasiliano ya hapa na pale, ukiwa unamseti Mwanamke kwenye angle unayoitaka ajae. Naye pia anakuseti kwenye Log10 yake ujae akupasue. Hivyo ni mchezo fulani wa kuzidiana akili na mbinu.
Kila mmoja akimvizia mwenzake.
Mwanamke yeyote anayetumia kigezo cha kukupima kama unampenda kwa Kukutaka fedha au umhudumie ujue huyo ni tapeli, hakupendi, na anachotaka ni kukupasua.
Elewa kuwa Mwanamke anayekupenda hakosi NAULI ya kuja kukuona mpenzi wake. Mwanamke hawezi kukosa nauli kwa Mwanaume anayempenda au mtoto wake aliyemzaa. Na Mzazi wake.
Sisi Watibeli tunatongoza Mwanamke na anakuja kwa nauli yake. Kama hataki tunapita kushoto. Hatulazimishi na hatutaki kulazimishwa.
Uzoefu wangu katika Mahusiano unaonyesha wazi kuwa Mwanamke akikupenda lazima ajitoe kwako kama wewe utakavyojitoa.
Achana na wale wanaume Washamba ambao wanatuma nauli alafu nauli hizohizo wanawake wanazitumia kwenda kwa wanaume wanaowapenda.
Mwanaume yoyote mjinga huona kujiumiza ndio uanaume wakati ni ubwege. Huwezi ukajiumiza kwa mtu ambaye hakupendi au kujiumiza kijinga ukasema huo ndio uanaume. Uanaume sio kuwa Bwege au Lofa.
Uanaume sio kujidharau na kukubali mtu mwingine akudharau.
Ni sawa na wale Mabwege yanayohudumia wake au Wanawake zao alafu bado hayapewi heshima, na tendo wanapimiwa au wanaomba. Wanaume hawapo hivyo.
Mwanaume lazima ujue kuwa jasho lako pia lazima liheshimiwe. Mtu anayedharau jasho lako amekudharau.
Kijana ukianza mahusiano usitume nauli, huko ni kutojitambua na kutojiamini.
Ni bora hiyo nauli utafute Kahaba au mwanamke mcheza vikoba hapo mtaa wa tatu umpe uende ukamalizane naye kama shida ni uzinzi, ngono.
Kama shida ni Mahusiano ya kweli, usitume Nauli. Mwache Aje kwa pesa yake mwenyewe. Naye lazima ajitoe kwaajili yako.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam