Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
mkuu kitila,Duh! Duniani kote gharama za simu zinashuka sisi ndio tunazidi kuzipaisha tena!!? Wengine tutaachana na masimu ya mikononi, tunabaki na email tu basi, by the way tutaepusha mengi ah!
Nimeziona bei mpya za simu,na kinachonikitisha hawa wapuuzi watanza kutangaza bei hizo bila kodi na VAT ili kuwahadaa watu..kuna kampuni moja wataanza kwa kusme SMS ni sh 43. bila VAT,ila hawaitaji kodi ambayoimo ndani yake ambayo ni sh. 17.wameshaanza kutengeneza na matangazo na wametumwa na serikali
kuna kitu hapa.....Nahitaji Msaada,zitto soma PM yako