Mkuu Mfuatiliaji,
wakati unafanya analysis yako sidhani kama ulikuwa na leaflets za tariff ya kila kampuni ya simu mkononi mwako.I doubt it!
Analysis nzuri though! waweke na Zain kwenye huo mnyambulisho maana bei zao ni kama za Voda koma koma,nukta nukta!
wakati unafanya analysis yako sidhani kama ulikuwa na leaflets za tariff ya kila kampuni ya simu mkononi mwako.I doubt it!
Analysis nzuri though! waweke na Zain kwenye huo mnyambulisho maana bei zao ni kama za Voda koma koma,nukta nukta!