Lumber! Sikulijua hili kabisaChokochoko alizianzisha ili arudi kwenye chat,kwani kipindi yeye anarudi Mondi tayari yupo juu kimziki na number one ikachukua tuzo 3 channel 0 na ilimboost.
Ila sijui nani alimzibua masikio,Madam Rita alikua anatupotezea kiba,kijana yy kipindi hiko ilikuwa kusugua mbunye ya madame.
Ngoma imetulia sana kwakwel
umetisha mzee
Alisemaga atatoa lknMapenzi yana run dunia~halafu sijui kwanini hadi leo hajatoa video ya huu wimbo
Bibi Ritta kampoteza sana huyo dogo, alinogewa na umarioo akasahau kazi sasa baada ya kuona new comers wanasifiwa sana akasanuka akaacha umarioo akarudi kwenye game na kukuta fame ya Domo iko juu sana, tokea hapo mpaka sasa anatimuliwa vumbi tu.
Mbaya hata fans wake wamehamia kwa Chinga boy na kuzidi kumpoteza kwenye ramani.